Naomba nikusahihishe Mkuu, Kwasasa hakuna DAWASCO tena hapo Dar Es Salaam isipokuwa pana DAWASA, Mamlaka ya Usambazaji Maji Safi na Taka Dar es Salaam.
Kama Maji yamekuwa na tope, huenda itakuwa kuna Mvua zimenyesha huko kwenye Vyanzo hivyo kupelekea Maji kuchafuka.
Unaweza kuwatembelea ofisini kwao au uwapigie namba ya huduma kwa Mteja kwaajili ya kuripoti.