Day Trip Iringa

Bro Hizo sehemu sio rafiki kwangu.
Mount royal, sunset ndio nspenda nikiwa huru
Acha kwenda kishuani. Utakutana na watalii wenzio. Nenda local ukutane na wazawa.
 
Sasa si ungetoka nje masta? 😂😂😂
😅😅😅 Ndani ghorofani ndiyo kulikuwa na vibe nyingi watu mob-hlf Huwa napenda kukaa kaunta ili nisikaukiwe na mvinyo , muumini wa kata mti panda mti ,sipendi kusubiria sana mvinyo.
 
Sasa pale ndo day trip??gangilonga iko pale pale mjini.mwendo wa nusu dk 20 kwa gari tena inaweza isifike.kifupi Iringa hakuna vivutio vingi vya utalii hotel zenyewe chache mnooo.may be uende mbugani
Kwa wewe mwenyewe unaona kawaida kwahyo nayachukua mawazo yako
 
Natumaini mleta mada umepata mwongozo
Cc Porsche 911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…