Day Trip Iringa

Day Trip Iringa

Sasa si ungetoka nje masta? 😂😂😂
😅😅😅 Ndani ghorofani ndiyo kulikuwa na vibe nyingi watu mob-hlf Huwa napenda kukaa kaunta ili nisikaukiwe na mvinyo , muumini wa kata mti panda mti ,sipendi kusubiria sana mvinyo.
 
Sasa pale ndo day trip??gangilonga iko pale pale mjini.mwendo wa nusu dk 20 kwa gari tena inaweza isifike.kifupi Iringa hakuna vivutio vingi vya utalii hotel zenyewe chache mnooo.may be uende mbugani
Kwa wewe mwenyewe unaona kawaida kwahyo nayachukua mawazo yako
 
Magic site mtwivila( zoo),

Isimila stone age


Ruaha national park,

Mtera dem,

Asas runch

Hall day inn frelimo (local and cheap bitchs)local brothel

Miami',lock down, and vIP club( for drinks,wine,cocktail, night clubs and mid- class bitch)

Mount royal,gentle hill,elexander hotel (for hotels ,foods and soft drinks)

Nb:kiwango cha maambukizi mapya ya HIV/AIDS ni kiasi kidogo sana Iringa mjini
Natumaini mleta mada umepata mwongozo
Cc Porsche 911
 
Back
Top Bottom