Kufuatia kutoka kwa hit ambayo inapewa sapoti na video ya mapesa mengi, My Number One ya Diamond Platinumz, Mambo yameanza kuwa mambo baada ya msanii Dyna Nyange kuibuka na kudai kuwa mdundo wa ngoma hii ulikuwa ni wa kwake na ulikuwa ni kwaajili ya wimbo ambao ulikuwa aufanye akiwa amemshirikisha msanii huyo.
Bado tunacheki mishe za kumpata Diamond kwaajili ya kulizungumzia swala hili kwaajili ya kupata uhalisia wake katika mdundo huo ambao unapewa credit kuwa umetengenezwa na Sheddy Clever.
Baada ya kupata story kuhusiana na mchongo huu, tukaamua kumvutia waya producer Sheddy Clever ambaye amesema kuwa kwa sasa hivi hayupo tayari kulizungumzia swala hili.
Dyna leo hii amenitumia ngoma hii anayolalamika kuwa amefanyika 'chimpupute' na Diamond Platinums so in sam few minutes, nitaiweka uweze kuisikiliza na kutoa maoni yako.
source: SAMMISAGO.blogspot.com
Bado tunacheki mishe za kumpata Diamond kwaajili ya kulizungumzia swala hili kwaajili ya kupata uhalisia wake katika mdundo huo ambao unapewa credit kuwa umetengenezwa na Sheddy Clever.
Baada ya kupata story kuhusiana na mchongo huu, tukaamua kumvutia waya producer Sheddy Clever ambaye amesema kuwa kwa sasa hivi hayupo tayari kulizungumzia swala hili.
Dyna leo hii amenitumia ngoma hii anayolalamika kuwa amefanyika 'chimpupute' na Diamond Platinums so in sam few minutes, nitaiweka uweze kuisikiliza na kutoa maoni yako.
source: SAMMISAGO.blogspot.com