Duh inatisha sana. Mko wapi ma-haters wa mawingu fm? Make kila tatizo la msanii mnapenda kulifungamanisha nao hata kama hamna ushahidi wowote mradi waonekane wabaya.
huyu kurudi katika afya yake ya kawaida labla Umoja wa Mataifa iingilie kati!
oyo mwenzetu kashapotea kinachoitajika kwake masaada so tujadili tunamaaidiaje kama wana jamii nawapenda burudani tuliopo hapa jf kama alikosea tusijadili issue ni msaada maana siku akututoka radio na magazeti na blog zote zitandika na watapiga pesa sasa leo ndugu yetu katigwa tumsaidie jamani ikiwezekana kupitia jukwaa hili members kadhaa tujutokeze tuhakikishe daz anarudi katika hali yake
oyo mwenzetu kashapotea kinachoitajika kwake masaada so tujadili tunamaaidiaje kama wana jamii nawapenda burudani tuliopo hapa jf kama alikosea tusijadili issue ni msaada maana siku akututoka radio na magazeti na blog zote zitandika na watapiga pesa sasa leo ndugu yetu katigwa tumsaidie jamani ikiwezekana kupitia jukwaa hili members kadhaa tujutokeze tuhakikishe daz anarudi katika hali yake
oyo mwenzetu kashapotea kinachoitajika kwake masaada so tujadili tunamaaidiaje kama wana jamii nawapenda burudani tuliopo hapa jf kama alikosea tusijadili issue ni msaada maana siku akututoka radio na magazeti na blog zote zitandika na watapiga pesa sasa leo ndugu yetu katigwa tumsaidie jamani ikiwezekana kupitia jukwaa hili members kadhaa tujutokeze tuhakikishe daz anarudi katika hali yake
tumsaidie kivipi na yuko Wapi sasa?
yupo iringa
huyu kurudi katika afya yake ya kawaida labla Umoja wa Mataifa iingilie kati!
Jaman unga Mbaya Nyie..Bora Nieendelee Kuvata Bangi Yangu Mimi uko sijaribu Kabsaa