Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi p funky majani?
oyo mwenzetu kashapotea kinachoitajika kwake masaada so tujadili tunamaaidiaje kama wana jamii nawapenda burudani tuliopo hapa jf kama alikosea tusijadili issue ni msaada maana siku akututoka radio na magazeti na blog zote zitandika na watapiga pesa sasa leo ndugu yetu katigwa tumsaidie jamani ikiwezekana kupitia jukwaa hili members kadhaa tujutokeze tuhakikishe daz anarudi katika hali yake
Jaman unga Mbaya Nyie..Bora Nieendelee Kuvata Bangi Yangu Mimi uko sijaribu Kabsaa
Kawa msomali! Kala haramu
Tatizo lao walikua wakifika kwa majani wakimkuta ananyonga na wao wanataka wapige pafu ili majani awaone masela. Matokeo yake ndo hayo pumbafff zao
Kwani kabadili uraia kawa msomali?
Jaman unga Mbaya Nyie..Bora Nieendelee Kuvata Bangi Yangu Mimi uko sijaribu Kabsaa
kwani kabadili uraia kawa msomali?
Kwani kabadili uraia kawa msomali?