Daz Baba anaitaji msaada wa haraka....Iangaliwe namna ya kumsaidia

Daz Baba anaitaji msaada wa haraka....Iangaliwe namna ya kumsaidia

oyo mwenzetu kashapotea kinachoitajika kwake masaada so tujadili tunamaaidiaje kama wana jamii nawapenda burudani tuliopo hapa jf kama alikosea tusijadili issue ni msaada maana siku akututoka radio na magazeti na blog zote zitandika na watapiga pesa sasa leo ndugu yetu katigwa tumsaidie jamani ikiwezekana kupitia jukwaa hili members kadhaa tujutokeze tuhakikishe daz anarudi katika hali yake

Ungemsaidia yule kijana aliyehititaji msaada wako kipindi anasaka karo ya shule,ningesapoti huu ujumbe wako. 👐
 
Tatizo lao walikua wakifika kwa majani wakimkuta ananyonga na wao wanataka wapige pafu ili majani awaone masela. Matokeo yake ndo hayo pumbafff zao

Tajiri anakula jana maskini anakula sembe
 

Attachments

  • 1420831665225.jpg
    1420831665225.jpg
    7.6 KB · Views: 649
Back
Top Bottom