Dc Albert Msando wa Handeni aamuru Kukatamatwa Kwa mwandishi wa ITV na kufutwa kwa alichorekodi

Huyu akutakiwa kuwa kwa ofisi by sunrise ,
 
Naona haya majina ya Albert yana matatizo, yule Albert wa Dar es salaam juzi kuzungumza maneno ya kipumbavu Sasa huyo albert wa handeni na yeye anagombana na waandishi wa habari , jamani akina Albert mna matatizo gani?!
 
Kuna shida mahala na majina ya ALBERT
Mf albert msando, albert chalamila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…