NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nyumbu wa Ufipa kesi ya icc itaanza kusikilizwa lini?Akili za wana CCM mnazijua nyinyi wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu wa Ufipa kesi ya icc itaanza kusikilizwa lini?Akili za wana CCM mnazijua nyinyi wenyewe
Hahahaaaa....... CCM ni mtakuja bwashee.Pumbaf
Wewe mwenyewe ubaweza kuwa mlemavu kesho tu ndio utakuja madhira wanayooitia walemavu nchi hii.Utakuta jitu mbavumbavu kutwa linazurura na mlemavu kwenye mabaa kama ni ndugu yake si amuache nyumbane afanye kazi akamuhudumie?? aisee wasakwe wakamatwe naunga mkono hoja
We senge rais anahusika nini na hii?Bwahaaa bwahaaaa, nimecheka kwa nguvu kinoma. Kweli Magu ametuharibia nchi kwa kupandandikiza siasa za kiki. Sasa kiki zinabackfire viongozi wanageuka futuhi.
Aaliyezungumza a awakilisha wilaya au nchi? Zungumzia mpaka naliendele hukoKwa wilaya ya Kinondoni ni kati ya tsh milioni a
We senge rais anahusika nini na hii?
Kuna siku utabanwa Nya badala uende chooni utalaumu serikali lofa wewe.
Labda hao wanaowaleta toka mikoaniDC ameeleweka!
Mjini mipango [emoji23][emoji23]Hawa huwa wanapangisha kabisa nyumba na asubuhi hutoka kama wanakwenda makazini.
Mfano pale Arusha kuna eneo linaitwa sekei, wanaishi kule asubuhi kabisa ile saa kumi na mbili utawaona wakielekea mjini kwenye shughuli zao na kila mtu huwa na eneo lake maalum.
Anyways, who are we to judge others.
Survival of the fittest.Mjini mipango [emoji23][emoji23]
Kuna siku nlimuona mama mmja pale moroco mataa mara gafla akapigiwa akapokea akawa anaongea [emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Tena wagonwe bakora kwa hadhira ili jamii ipate kujifunza ....kuna watu wanatetea ujingaUtakuta jitu mbavumbavu kutwa linazurura na mlemavu kwenye mabaa kama ni ndugu yake si amuache nyumbane afanye kazi akamuhudumie?? aisee wasakwe wakamatwe naunga mkono hoja
Kituo Chao kipo wapi au wanapewa kwa utaratibu upi? Coni hapa kwenye report ya cag 2019/20Kwa wilaya ya Kinondoni ni kati ya tsh milioni 600 hadi 800!
Hiyo ni kwa mujibu wa DC Chongolo kwamba 10% ya mapato ya manispaa hutengwa kwa ajili ya makundi maalumu yaani Vijana 4%, Wanawake 4% na Walemavu 2%Kituo Chao kipo wapi au wanapewa kwa utaratibu upi? Coni hapa kwenye report ya cag 2019/20
Wale wanaowasukumiza walishaadhibiwa kwa viboko mahakama haiwahusu tena!Labda hao wanaowaleta toka mikoani
Ila ukisema uwashtaki wale wanaowasukumiza
Huwezi kuwapata mapema sana mahakamani
Wanashinda
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kwa sababu linafanywa na Serikali tena Serikali ya CCM, hutasikia wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wakisemea hili.