DC Hassan Bomboko madada poa umewamaliza Dar?

DC Hassan Bomboko madada poa umewamaliza Dar?

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Kunasehemu umewaona?....tushirikiane kutoa taarifa
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Ngoja afundishwe sheria na utawala bora mahakamani kwanza ndiyo akili imkae uzuri.Badala ahangaike kuwahimiza watu wakazane kwenye kilimo,yeye anahangaika na sehemu zao za siri!Bomboko oyeeee!
 
Yeye na brother wake Mr RC wasisahau kwenda pale Mlimani city samaki samaki kuanzia around saa moja usiku wapo wengi sana pia wasiishie kwa hao wa uswazi tu wasogee mitaa ya mikocheni, mbezi beach, Goba nk kuna machimbo kibao ya makahaba ni hela yako tu.

Wasisahau pia kufungia Telegram, Badoo, Escort.com nk maana hao unafika Bei unatoa location mzigo unakuja kwa room smoothly.

Suala la ukababa ni la kimaadili, life style, na umasikini zaidi na huwezi kulimaliza labda kulipunguza maana wengine ndio starehe/furaha yao kutombwatombwa.

Tupo wanaume ambao tunahitaji rough sex siku zote, rough sex zinafanywa na crazy girls kama hawa three/foursomes, kunyonya pipe, massage katikati ya sex, just enjoying naked beutfully ladies and fucking the whole night, house parties, nk...haya yapo duniani kote na kuyapunguza ni kuboresha maisha ya watu hasa wadada, elimu Bora zoote akhera na Dunia nk.
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Leo mida ya Saa 9 usiku nmekatiza Pale Ubungo Kibo Bar ya Dagaa dagaa wapo kibao ni kama wameongezeka
 
Back
Top Bottom