Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jingalao soma na uelewe content ya post hii ya mwanaccm mwenzako mwenye akili. Then jirekebishaThat is not how we are supposed to serve.
Kama mwanachama mtiifu wa CCM ambayo inajukumu la kuisimamia Serikali.
Naomba mheshimiwa D.C. aonywe na mamlaka ya uteuzi.
Mkuu ila huyo msomi wetu si ameamua maisha ya teuzi na kukacha kitabu...? Kwa zama hizi mazonge kama hayo hayaepukiki.Ndio maisha aliyochagua.Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?
Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]
Unatoaje onyo mamlaka ya uteuzi kwa jambo ambalo imelibariki! Haya wanayoyafanya na akina Muro yanatofauti gani na yanayofanywa na mamlaka ya uteuzi?That is not how we are supposed to serve.
Kama mwanachama mtiifu wa CCM ambayo inajukumu la kuisimamia Serikali.
Naomba mheshimiwa D.C. aonywe na mamlaka ya uteuzi.
Mnyonge mnyongeni....Mkuu vipi unajua kiwango cha elimu cha mh Muro??Muro anamuogopa MKurugenzi. Mkurugenzi ana PhD wakati Jerry ni takataka mzoa mavi bichwa tupu. Sasa anajihisi kudharauliwa.
Rais kuhutubia kutoka kichwani badala ya kusoma alichoandikiwa kunasababisha wasaidizi wake wapate tabu sana.Amesema Katika kuteuwa vigezo vyake awe ni kichaa kama yeye,
Huu ni msimu wa vichaa
Ndio maana Jamaa alikua anamcheka tu DC.Nijuavyo DED kwa mafungu wapo vizuri zaidi,Mara nyingi DC, wanaomba hata mafuta.Awe na akiba ya maneno.
Taratibu mkuu. Kwani ni lazima utukane?Kuna mijitu mengine ni mithenge sana lakini ndio malipo yao hayo ya kutumika kishenzi shenzi. Watu wazima wana njia za kuambizana kijitu kizima sio kufokeana kama watoto wadogo.
Bahati mbaya Mfațme Jiwe Kichaa ndio anapenda watu wenye ujinga wa aina hizo. Siku huyo DC atakapowafanyia wa CDM ujinga kama huohuo basi atafikiriwa hata kumrithiEeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!!
Jerry Nimesoma naye Kisarawe Lutheran Junioe Seminary 2001-2003. Ni mwanafunzi pekee aliyekuwa akitukanana na walimu hadharani. Ni katika kipindi hicho Jerry alikuwa akifanya ushenzi yeye na demu wake Grace (Jina la pili nalihifadhi) kama mke na mume kinyume cha maadili ya Seminary. Jerry alikuwa ni mwanafunzi pekee aliyekuwa anatoroka usiku kutoka Seminary kuja kisarawe na hatimaye Dar kulewa mipombe na kurudi Shule alfajiri. Jerry alikuwa akisoma Seminary huku akifanya kazi redio moja hapa Dar akiendesha kipindi cha ngono kiliitwa Pillow talks. Jerry alishafukuzwa shule Loyola na alifanya NECTA akiwa kwenye suspension.Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?
Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]