EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Mtu mwenyewe anaitwa DC kwa maana ya Direct Current waya wa positive ukiungua kichwani ni hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙆🏽♂️🙆🏽♂️Mtu mwenyewe anaitwa DC kwa maana ya Direct Current waya wa positive ukiungua kichwani ni hatari sana
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
Zitto anakuja kumsajili Lissu. Jiandaeni😆😆😆😆😆 Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
enzi zile moderator wa jf walipokuwa wanazingatia sheria ungepigwa ban ya siku 7 kwa kuleta uzushi kwenye uzi usiohusiana na ujinga wakoZitto anakuja kumsajili Lissu. Jiandaeni
enzi zile moderator wa jf walipokuwa wanazingatia sheria ungepigwa ban ya siku 7 kwa kuleta uzushi kwenye uzi usiohusiana na ujinga wako
Kamanda usipaniki...isitoshe nyie wote wapinzani au siyo?enzi zile moderator wa jf walipokuwa wanazingatia sheria ungepigwa ban ya siku 7 kwa kuleta uzushi kwenye uzi usiohusiana na ujinga wako
enzi zile moderator wa jf walipokuwa wanazingatia sheria ungepigwa ban ya siku 7 kwa kuleta uzushi kwenye uzi usiohusiana na ujinga wako
anaweza kuwa alikuwa sahihiJerry buana,saizi aliyemfokea amepaa
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'