PACHO HERRERA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 460
- 527
Pathetic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabogus wamejaa tunao maofisi. Halafu ni waoga ile mbaya ukiwaambia unawafukuza kazi wanalia kabisa walishanililia kama watatu hivi sijui wanashida sana huko kwao??Wachaga huwa hawana huo ujinga sijui kautolea wapi?
Hivi huyu ndo jery wa ile katuni ya tom and jeryEeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!! Dr. Mahela is the most reputable academician, alafu Jerry anamfanyia hv? OMG..!!
Ndiyo mkuu. Amefundisha Mlimani kwa muda mrefu. Sikujua kama alishachomolewa na kupewa uDED. Sijui mishahara na marupurupu ya maDED yalivyo ila kama alivyosema G. Malisa hapo juu inaonekana maDED wanadhibiti bajeti ya mamia ya mamilioni ya shilingi. Pengine ndicho kinachomfanya msomi huyu nguli wa Hisabati kutukanwa na kanjanja failure; na kuaibishwa mbele ya dunia. Tumbo !!!Comment yako inaondoa vidonda vya tumbo, ana Phd ya HISABATI? aseh... Sasa kwann asirudi kufundisha aseh
PhD holder ana mshahara mkubwa kuzidi wa DED, DC hata mkuu wa Mkoa. Ukiongeza na uwezekano wa consultancy na winning big project, ni nonsense kuwa DED then ukatukanwa na vijana wa CCM. Pamoja kuna umuhimu wa kuwa na DED msomi ili atumie tafiti kuleta maendeleo ila ni aibu kutukanwa mbele za watu.
Ndio huyu sasaSijawah kuona mchaga bogus kama huyu
PhD ni part time lecturer Nelson Mandela University analipwa kwa masaa.Murro muda wake ni kutisha na kudharau wananchi.Kilichonikera ni kuona PhD ya mathematics specifically financial mathematics anakemewa na dogo ambaye hata kula yake ilikuwa shida mpaka JPM alipomuona.
Taabu sana.
HahahaaaAisee ningemrukia kama paka huyo DC wangekuja kuniwekea dhamana tu mahakamani. Siwezi kuvumilia mimi.
Naomba kujua scales zao za mishaharaDokta mzima anakubali kuwa DED si uzuzu huo?
kiongozi ni DC RCSura ya RC inaonesha kutofurahishwa kabisa na anayofanya DC.
Inamaana kiongozi wa msafara hapo ni DC au RC?
Wewe mzazi upo hapo umesimama. Halafu matoto yasiyo na adabu yakaanza kufokeana mbele yako. Ni kweli utakaa kimya tu? Mkuu wa mkoa ambaye naye hujifanya mkali sana hapa naona yuko kimya tu. Au Jerry naye ni mtoto wa dadiii ndo maana Gambo ameogopa kuingilia kati?
Halafu anayefokewa ni PhD holder tena bingwa kabisa wa Hisabati. Alipaswa kuwa ananoa vijana wetu Mlimani huyu hasa ukizingatia kuwa tuna wataalamu wachache sana wa somo hili muhimu. Leo yuko hapa anafokewa na failure na (certified) mropokaji. Tumbo mwanaharamu sana aisee. Na kwa mtindo huu wasomi wa Tanzania mkiendelea kudharauliwa msilalamike. Sad [emoji36][emoji36][emoji36]
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
Huyo DED mwenye matatizo amechagiwa sasa kuwa MKURUGUNZI TUME YA UCHAGUZI (NEC).Nakubalina na wewe mkuu 100%. Lakini huyu DED ana matatizo pia. Yaani taaluma yake ni muhimu kuitawanya kwa wanafunzi wa chuo ili tuzalishe wana hisabati wengi.. Na wanaohitajika sana kwenye kila masomo mengi hasa ya uinjinia na sayansi. Yaani kaivunja thamani Phd yake matokeo yake anatukanwa na mpumbavu kama huyo anayetafuta kiki. Hata rais pia inawezekanaje kumtoa chuoni mtaalamu kama huyo kumpa post ya kijinga kama hiyo ya DED? Very bad decision.
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'