Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nimeichukua hii mkuuHuyu kwenye lile tukio la Lisu area D Dodoma anatajwa kuonekana ! Muda utajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeichukua hii mkuuHuyu kwenye lile tukio la Lisu area D Dodoma anatajwa kuonekana ! Muda utajibu
Alikamatwa na pingu , Mawakili wa chadema wakamtoa seloDiallo alisema vichaa wasiwe wanapewa madaraka.Kwanza alikua na kesi ya rushwa TBC,aliwahi kutoa matusi ya udhalilishaji akiwa Yanga, hivi Mama kwa uchamungu wako unateuaje huyu mtu Mama?
Bashite siyo mwenzio,mark my wordsTime will tell. Amuulize Bashite na saa mbaya walipo.
wadanganye wajingaBashite siyo mwenzio,mark my words
AiseeeeHuyu kwenye lile tukio la Lisu area D Dodoma anatajwa kuonekana ! Muda utajibu
Uvccm mje mpongeze kwa hili pia. Mkuu ulikuwa mbele ya mudaJerry Murro ataondolewa kwa aibu sana.
Inasikitisha sana.Uvccm mje mpongeze kwa hili pia. Mkuu ulikuwa mbele ya muda
Bashite muuaji hawezi kuwa mwenzake.Bashite siyo mwenzio,mark my words
Katumbuliwa siku aliyorudi Lissu nchini,Aiseeee
Yametimiaa Ni mpuuzi San alinisumbuwa sna nilvyo kuwa ofc ya serkali Kama mtaalamu fln HV mpuuzi tuJerry Murro ataondolewa kwa aibu sana.