Tetesi: DC Jerry Muro atuhumiwa kumchapa makofi kondakta wa basi wakati akijaribu kujitetea

Tetesi: DC Jerry Muro atuhumiwa kumchapa makofi kondakta wa basi wakati akijaribu kujitetea

Huyo basi pengine kalewa madaraka.
Basi apewe kazi nyingine.
Maana Rais hakumtuma ama kumpa kazi ILI kudhalilisha WANANCHI.
Pengine ana tatizo la akili!!!!
Hana tafauti na manara wote akili zao zinafanana
 
Wana JF

Habari za jioni, nimekutana na huu mkasa huko mitandao ya kijamii, kwenye post mojawapo za Jerry Muro, mtanzania mmoja amedai ya kuwa tukio hilo lilitokea huko Arusha ambapo, Kondakta wa basi husika alitoka kwa ajili ya kujitetea baada ya kupakia abiria sehem isiyo husika.

Kama kuna anayeweza kuthibitisha hili.

View attachment 860709
kama ni kweli amefanya vizuri kwa hilo. Dereva alifanya uzembe apo
 
Kwa vitendo vinavyofanywa na hawa ma Dc Vijana,haki yamungu mtakuja kusikia kuna Dc kanigwa,maana hawavumiliki
 
Huyo dc ana dharau sana. Haoni haya kuwaambia "Wananchi" wakatafute nchi nyingine ya kuishi!
Tanzania ni baba yake ?
 
Tatizo mnataka kila kitu kulalama, kosa la jerry ni nini,lazima mtu upewe kitssa ili akili imkae mnajifanya mna huruma sana wakati upuzi wa madereva kutofuata sheria za barabarani ndiyo unasababisha ajali kila siku,
 
Mimi Deo kisandu......!


Ndo hivo tena wakina mchizi mox ni wengi
 
Huyo basi pengine kalewa madaraka.
Basi apewe kazi nyingine.
Maana Rais hakumtuma ama kumpa kazi ILI kudhalilisha WANANCHI.
Pengine ana tatizo la akili!!!!
Kama fulani[emoji2] [emoji2]
 
ushahidi ni kitu muhimu la sivyo ni chai kama chai nyngne tofauti ladha tu
 
Kama hajaweka ushahidi wa video anazingua.
Amwache DC MURRO... ww kwa Dunia ya Sasa kila abiria Ana smartphone.. Hakuna hata mmoja aliyerekodi??
Jitu linatumia ID FEKI isiyo na picha hiko insta linampakazia mhe. Pumbaav sana
 
Watu wafuate sheria mkuu ,mimi nawajua makonda na nadereva wa hizi costa wana jeuri sana na hawafuata sheria kabisa,uzembe wa mtu mmoja wasitupeleke uwanja wa taifa kuombeleza
Kumpiga konda ni kufuata sheria? Au ni konda pekee ndo anatakiwa kufuata sheria?
 
Huyo dc ana dharau sana. Haoni haya kuwaambia "Wananchi" wakatafute nchi nyingine ya kuishi!
Tanzania ni baba yake ?
Anadhani bado ni msemaji wa timu za Tanzania premier league
 
Back
Top Bottom