DC Jery Muro unamchonganisha Rais na Wananchi. Kiburi na chuki zako zitakumaliza

DC Jery Muro unamchonganisha Rais na Wananchi. Kiburi na chuki zako zitakumaliza

Puma yetu

Senior Member
Joined
Sep 23, 2016
Posts
111
Reaction score
125
Kupitia kauli zako za kuwania wananchi wa Wilaya ya Ikungi kua una Majeshi, Polisi na Mabomu kwamba inaweza kumlipua mtu wakati wowote, ni kauli za hovyo na za kijinga kwa kiuongozi ambaye umepewa mamlaka ya kulea na kutunza amani ya eneo husika kwa niaba ya mkuu wa nchi.

Jery Muro kauli zako zinamchonganisha Rais na wananchi, unafanya kiongozi huyu mnyenyekevu achukiwe na wananchi kwa sababu ya mdomo wako mchafu uliojazwa kiburi unaongea bila kutazama mbele. Je, haya ndiyo aliyokutana Rais wa nchi?

Tikuhakikishie kua wananchi wa Ikungi kwa kauli zako hatutakuwa ushauri wa aina yeyote na wala hatukuhitaji. Mimi ni MwanaCCM na ni miongoni mwa waliokupokea wilayani lakini hatutakuvumilia, usituharibie mji wetu tazama mbele yako.
 
Tikuhakikishie kua wananchi wa Ikungi kwa kauli zako hatutakuwa ushauri wa aina yeyote na wala hatukuhitaji. Mimi ni MwanaCCM na ni miongoni mwa waliokupokea wilayani lakini hatutakuvumilia, usituharibie mji wetu tazama mbele yako.[emoji736][emoji817]
 
Lofa huyu hajielewi ni mropokaji ni wa kupuuzwa. Mabomu ni ya nyumbani kwao? Mpuuzi hajui kua mabomu hayo ni kodi za hao anaowafokea?
 
Huyu si nasikia ndio wale waliounda lile genge la wauaji maarufu kama wasiojulikana, anafikiri yuko salama.

He should watch his back because he is dependent on the protection of the regime whose future is not guaranteed.
 
Pandisha video clip tumsikie bwana DC na sie tuliopo huku matombo
 
Kwa anayemjua huyo jamaa huwa ni mropokaji sana. Huwezi kuyaweka rohoni maneno yake na hata polisi hawawezi kufuata oder yake ya kulipua watu kama anavotaka yeye😂
 
Chawa Funza Kunguni Papasi Mbung'o


Handeni Kuna Yule Kama Panzi Anaruka Na Anatoa Harufu Kali (Ngeda)
 
Kupitia kauli zako za kuwania wananchi wa Wilaya ya Ikungi kua una Majeshi, Polisi na Mabomu kwamba inaweza kumlipua mtu wakati wowote, ni kauli za hovyo na za kijinga kwa kiuongozi ambaye umepewa mamlaka ya kulea na kutunza amani ya eneo husika kwa niaba ya mkuu wa nchi.

Jery Muro kauli zako zinamchonganisha Rais na wananchi, unafanya kiongozi huyu mnyenyekevu achukiwe na wananchi kwa sababu ya mdomo wako mchafu uliojazwa kiburi unaongea bila kutazama mbele. Je, haya ndiyo aliyokutana Rais wa nchi?

Tikuhakikishie kua wananchi wa Ikungi kwa kauli zako hatutakuwa ushauri wa aina yeyote na wala hatukuhitaji. Mimi ni MwanaCCM na ni miongoni mwa waliokupokea wilayani lakini hatutakuvumilia, usituharibie mji wetu tazama mbele yako.
Akifanya J.Muro Rais atachukiwaje? Wao wafikishe malalamiko yao panapohisika hatua zichukuliwe
 
Wakuu wa wilaya,wawe wanapewa mafunzo ya uongozi na miongozo ya Nini vya kufanya na nini vya kutofanya,wakiwa vituoni kwao.
 
Kupitia kauli zako za kuwania wananchi wa Wilaya ya Ikungi kua una Majeshi, Polisi na Mabomu kwamba inaweza kumlipua mtu wakati wowote, ni kauli za hovyo na za kijinga kwa kiuongozi ambaye umepewa mamlaka ya kulea na kutunza amani ya eneo husika kwa niaba ya mkuu wa nchi.

Jery Muro kauli zako zinamchonganisha Rais na wananchi, unafanya kiongozi huyu mnyenyekevu achukiwe na wananchi kwa sababu ya mdomo wako mchafu uliojazwa kiburi unaongea bila kutazama mbele. Je, haya ndiyo aliyokutana Rais wa nchi?

Tikuhakikishie kua wananchi wa Ikungi kwa kauli zako hatutakuwa ushauri wa aina yeyote na wala hatukuhitaji. Mimi ni MwanaCCM na ni miongoni mwa waliokupokea wilayani lakini hatutakuvumilia, usituharibie mji wetu tazama mbele yako.
Kama haya uliyoandika hapa si uzushi na chuki binafsi tu, basi ije ifikie mahali huyu mtu apumzike, maana sasa anaonekana kutupanda kichwani sisi wanachi ambao ni waajiri wake.

Nakumbuka sana kuna kipindi pia aliwahi kumghasi mtu mwenye heshima sana aliyekuwa chini yake na ambaye kwa sasa ni mtu mkubwa tu kuzidi hata yeye. Huyu mtu ije ifike mahali apumzike, na siku akipumzika nitafurahi
 
Back
Top Bottom