Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #181
Asante sana kwa kuliona hiloDereva wa Jokate, ujumbe umefika, najua madereva wa hawa ma-viongozi vijana wasio olewa [SUKARI -MAMMY] mnapata shida sana, ujumbe umefika , Jei-wa-insta-mwaga-maa atamfunda, ni mama yake mdogo.
VAZI linatoa tafsiri yako, mavazi yanaongea.Asante sana kwa kuliona hilo
Mara nyingi fact na ukweli huwa havijali kama majority wanabiunga mkono au la.
Naamini Jokate baada ya kuusoma uzi huu ujumbe umemfikia, Si busara kiongozi mkubwa kama yeye kuacha wazi kifua chake nje. Sisi wanamchi tunamtizama kama kiongozi zaidi kuliko tunavyomuona katika enzi za kazi zake za ulimbwende.
MAVAZI HUBEBA HAIBA YA KIONGOZI
Nahisi kama unampigia promo. Otherwise you’ve got some serious problems kama kawaida kwa sisi waafrika.Asante sana kwa kuliona hilo
Mara nyingi fact na ukweli huwa havijali kama majority wanaviunga mkono au la.
Naamini Jokate baada ya kuusoma uzi huu ujumbe umemfikia, Si busara kiongozi mkubwa kama yeye kuacha wazi kifua chake nje. Sisi wananchi tunamtizama kama kiongozi zaidi kuliko tunavyomuona katika enzi za kazi zake za ulimbwende.
MAVAZI HUBEBA HAIBA YA KIONGOZI
YapKwa sasa atapata wa kumuoa soon maana kile kizuizi hakipo tena
I don't care., ndio hali halisi ya nchi yenu wanaoumia ni watanzania, nyinyi wa buku 7 ndio munaotumiliwa, wajinga ni waliwaoWivu utakuua
kinachofata ni Jojo kuwa Mkuu wa Mkoa ndo akili zitakukaa sawa
GarbageI don't care., ndio hali halisi ya nchi yenu wanaoumia ni watanzania, nyinyi wa buku 7 ndio munaotumiliwa, wajinga ni waliwao
Basi mfute kazi kama wewe binafsi unakereka.Hajavaa vibaya huko chini, ila juu kwenye kifua hajavaa kabisa, kakiacha wazi kinyume cha muongozo wa mavazi ya watumishi wa umma
Tatizo siyo alichovaa kwingine, tatizo ni kile alichoacha wazi
Halafu ni kazee sijui sababu ya kuzoea vizeeKwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.
Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.
Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.
Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.
Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.
Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.
Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza
View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Nimeona kwenye video hii akijitahidi kuvutavuta shati lifunike kifua. Good!. Sasa anaweza kupunguza tabu yote hiyo kwa kutafuta viguo vya ndani vinavyofunika hicho kifua au vazi complete linalokifunika!..hivi haya mavazi yake ni ya kikazi?
..sisemi kama ni mavazi yasiyo na heshima, la hasha.
..ila nina wasiwasi kama ni mavazi yanayolingana na hadhi ya muwakilishi wa raisi wilayani.
Kwako DC Jokate
Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe.
Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri.
Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi ukiendelea hivi basi una future ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
Ila kuna kitu nataka nikwambie, Mavazi yako hasa yale yanayoacha kifua chako wazi si muafaka kwa mwanamama mwenye hadhi ya ofisi ya umma unayoishikilia.
Nafahamu kuwa una bsckground ya mambo ya mitindo na ulimbwende, lakini naomba ufahamu sasa kuwa sasa wewe ni mkubwa kuliko hayo, wewe ni mtumishi na kioo cha jamii, ni kioo cha mabinti nchini, nakuomba basi hilo vazi linaloacha kifua chako nje uliache na badala yake tafuta vazi zuri tu linaloendana na hadhi ya ofisi ya Umma.
Ndugu DC hii nchi imejaa marijali, wanaume shababi, ambao kiukweli wakiona kifua kizuri kama hicho wanaweza kupatwa mfadhaiko, kwa hiyo ili kuepusha hayo yote nakuomba ndugu DC kwa unyenyekevu mkubwa utuonee huruma kwa kuvaa mavazi muafaka zaidi.
Mheshimiwa wewe una potential ya kuwa kiongozi mkubwa huko mbeleni, naomba uanze kujiweka katika hali ya mtu aliyetayari kupokea majukumu makubwa kwa kujinasabisha na majukumu hayo kitabia na kiutendaji.
Natanguliza shukrani, na samahani sana kama nimekukwaza
View attachment 1829430View attachment 1829432View attachment 1829433View attachment 1829434
Nimeona kwenye video hii akijitahidi kuvutavuta shati lifunike kifua. Good!. Sasa anaweza kupunguza tabu yote hiyo kwa kutafuta viguo vya ndani vinavyofunika hicho kifua au vazi complete linalokifunika!
I hope mada hii imemfikia na ataifanyia kazi.
Sisi tunamshauri kwa kumpenda na siyo kumnanga, Tunataka Jamii imheshimu zaidi kama kiongozi na siyo "binti mrembo" maana urembo utaisha, watu watamjudge kwa kazi zake.
Huyu binti anaonyesha kuwa ana potential ya kuwa kiongozi mzuri sana, kwa sababu kiukweli kwenye aspect ya kuchapa kazi yuko vizuri. Sasa tunataka kumuona jamii hii ikimheshimu na kumkubali zaidi ili aaminike kwa ajili ya kupewa dhamana kubwa huko mbeleni, ndiyo maana tunashauri ajiweke vizuri zaidi kimavazi, kiutamaduni, kimwenendo na katika kila kitu kinachomfanya kiongozi aheshimike na kuaminika mbele ya umma!