Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In the hood they say "It's some Taliban up in herrr"Labda kama kuna picha zingine, lakini hizo ulizoziweka hapa sioni kabisa ubaya wake.
Hazionyeshi cleavage. Ni za staha kabisa.
Utakua unapenda vifua tu wewe na rangi ya mtume..Nimeangalia picha nyingi za wanawake waliowahi kuwa viongozi nchini, yeye ndo amezidi ile frequency ya kuachia kifua nje.
Na hazitamanishi kama alivodai mleta mada, mimi naona mleta mada anamtamani DC yeye peke yake.Labda kama kuna picha zingine, lakini hizo ulizoziweka hapa sioni kabisa ubaya wake.
Hazionyeshi cleavage. Ni za staha kabisa.
Boss hujamuelewa huyo jamaa.anasema tehran kuna joto sio baridi kama ulivoelewa weweTehran ndo Kuna baridi??? Maiman mengine buana
Sasa kwa nini umelileta hapa kama ni la kwake?Hili ombi ni kwa Jokate, msitokwe povu sana.
Naamini yeye ni mwenye busara atajua tu kuwa kama kuna watu wanakitolea macho kifua chake, hiyo tayari ni distraction katika uongozi wake.
Simlazimishi, ila kama akipenda basi aone tu kuwa kuna watu wanakiangalia kifua chake na wangependa kukiona kifua kizuri kama hicho kinafunikwa ili kisiwe distraction.
tuliza kipapa iko wapi ime ongelewa imani kuuku wwTehran ndo Kuna baridi??? Maiman mengine buana
Napenda watu watoe maoni.Sasa kwa nini umelileta hapa kama ni la kwake?
Hukutaka watu tutoe maoni yetu?