DC Jokate Mwegelo na Uongozi wenye tija

DC Jokate Mwegelo na Uongozi wenye tija

DC na RC ni vyeo takataka tu. Vyeo vya kikoloni.

Havina maana yoyote zaidi ya kumlindia madaraka mtawala eneo husika. Mara nyingi hutumika kama rushwa kwa watu. Ni gharama zisizo na maana kwa mlipa kodi.

Bongo ukitaka uonekane unachapa kazi, wekeza kwenye promo na media.

Ndio maana kuna watu wanaona Makonda na Jafo wanafaa kuwa Marais nchi hii.
 
Waliokimbia tunaomba mrejesho wa mbio zilikuwaje huko?
Mimi ni mmoja wa waliokimbia leo 21.1Kms
Mbio zilichelewa sana kuanza, Normally Km21.1 huwa wanatakiwa kuanza saa 12.30 Asb badala yake walichelewa kuanza zaidi ya dak 45.

Baadhi ya washiriki wamekosa medal, hii ni dosari kubwa sana kwa Marathon na ni jambo ambalo litacost kwa kiwango kikubwa Marathon hiyo kwa nxt season.

Utaratibu wa kupokea wakimbiaji waliomaliza mbio haukuwa sawa, Finish point ilijaa wacheza singeli badala ya pakuacha wazi watu wamalize exactly Kms badala yake running apps nyingi zimesoma below required Kilometers kwa sababu ya kutofika kwenye finish point kutokana na kujaa wacheza singel.

Kamati ilijaa mamluki, Jokate alitumia mashost na vijana wa mjini ambao wengi ni wapigaji, watu pekee ambao niliwaona kwenye ile kamati ambao kwa hakika ni manguli katika hili game ni Gold girl na Eng. Katemba wengine wote walikuwa ni wanyoa viduku.

Hakukuwa na maji ya kutosha kwenye water point.

Hakukuwa na glucose kbs ambayo husaidia refuelling kwa wakimbiaji.

Hakukuwa na matunda hasa ndizi ambazo ni muhimu sana kwa wakimbiaji.

Route ya 21.1Km haikuwa na usalama wa kutosha kwa wakimbiaji, magari na pikipik yalikuwa yanakimbia sana bila kuwepo kwa tahadhari hasa Km ya 8-12 kbl ya turning point.

Kwenye event kama hizo siasa si mahala pale, kukimbia ni khs mood, at the moment umepoteza mood the whole workout inaharibika hapo.

Thats my observation
Nasema hayo through my experience kama social runner ambaye nimeshahudhuria zaidi ya Marathon 50 kubwa na ndogo.
 
Mimi ni mmoja wa waliokimbia leo 21.1Kms
Mbio zilichelewa sana kuanza, Normally Km21.1 huwa wanatakiwa kuanza saa 12.30 Asb badala yake walichelewa kuanza zaidi ya dak 45.

Baadhi ya washiriki wamekosa medal, hii ni dosari kubwa sana kwa Marathon na ni jambo ambalo litacost kwa kiwango kikubwa Marathon hiyo kwa nxt season.

Utaratibu wa kupokea wakimbiaji waliomaliza mbio haukuwa sawa, Finish point ilijaa wacheza singeli badala ya pakuacha wazi watu wamalize exactly Kms badala yake running apps nyinfi zimesoma below required Kilometers kwa sababu ya kutofika kwenye finish point kutokana na kujaa wacheza singel.

Kamati ilijaa mamluki, Jokate alitumia mashost na vijana wa mjini ambao wengi ni wapigaji.

Hakukuwa na maji ya kutosha kwenye running point.

Hakukuwa na glucose kbs ambayo husaidia refuelling kwa wakimbiaji.

Hakukuwa na matunda hasa ndizi ambazo ni muhimu sana kwa wakimbiaji.

Route ya 21.1Km haikuwa na usalama wa kutosha kwa wakimbiaji, magari na pikipik yalikuwa yanakimbia sana bila kuwepo kwa tahadhari hasa Km ya 8-12 kbl ya turning point.

Kwenye event kama hizo siasa si mahala pale, kukimbia ni khs mood at the moment umepoteza mood the whole workout inaharibika hapo.

Thats my observation
Nasema hayo through my experience kama social runner sio Pro lk ambaye nimeshahudhuria zaidi ya Marathon 50 kubwa na na ndogo.
Mkuu asante sana.
Obviously niliuliza ili nipate feedback kama yako ambayo imwtoa picha kwa wale wanaoandaa mbio kisiasa au kimaslahi wajue wanaharibu oicha halisi ya hizi mbio.

Nimekuwa nikishiriki kwenye mbio kadhaa kwa different participate ila nilichosikia kutoka huko kisalawe kinatia kinyaa ukizingatia muandaaji alipata shavu la uhakika kwa wadhamini wa kutosha but mbio kukosa maji, medal na usimamizi wa maana hapo ni KUSHINDWA!.

Tarehe 8.5.2021 kuna Tulia marathon kule Mbeya, hii ni moja ya pili ya mbio zinazoandaliwa na mwanasiasa, so let wait and see.
 
Mimi ni mmoja wa waliokimbia leo 21.1Kms
Mbio zilichelewa sana kuanza, Normally Km21.1 huwa wanatakiwa kuanza saa 12.30 Asb badala yake walichelewa kuanza zaidi ya dak 45.

Baadhi ya washiriki wamekosa medal, hii ni dosari kubwa sana kwa Marathon na ni jambo ambalo litacost kwa kiwango kikubwa Marathon hiyo kwa nxt season.

Utaratibu wa kupokea wakimbiaji waliomaliza mbio haukuwa sawa, Finish point ilijaa wacheza singeli badala ya pakuacha wazi watu wamalize exactly Kms badala yake running apps nyinfi zimesoma below required Kilometers kwa sababu ya kutofika kwenye finish point kutokana na kujaa wacheza singel.

Kamati ilijaa mamluki, Jokate alitumia mashost na vijana wa mjini ambao wengi ni wapigaji.

Hakukuwa na maji ya kutosha kwenye running point.

Hakukuwa na glucose kbs ambayo husaidia refuelling kwa wakimbiaji.

Hakukuwa na matunda hasa ndizi ambazo ni muhimu sana kwa wakimbiaji.

Route ya 21.1Km haikuwa na usalama wa kutosha kwa wakimbiaji, magari na pikipik yalikuwa yanakimbia sana bila kuwepo kwa tahadhari hasa Km ya 8-12 kbl ya turning point.

Kwenye event kama hizo siasa si mahala pale, kukimbia ni khs mood at the moment umepoteza mood the whole workout inaharibika hapo.

Thats my observation
Nasema hayo through my experience kama social runner sio Pro lk ambaye nimeshahudhuria zaidi ya Marathon 50 kubwa na na ndogo.
yatarekibishika mwamzo mgumu.hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
Mkuu asante sana.
Obviously niliuliza ili nipate feedback kama yako ambayo imwtoa picha kwa wale wanaoandaa mbio kisiasa au kimaslahi wajue wanaharibu oicha halisi ya hizi mbio.

Nimekuwa nikishiriki kwenye mbio kadhaa kwa different participate ila nilichosikia kutoka huko kisalawe kinatia kinyaa ukizingatia muandaaji alipata shavu la uhakika kwa wadhamini wa kutosha but mbio kukosa maji, medal na usimamizi wa maana hapo ni KUSHINDWA!.

Tarehe 8.5.2021 kuna Tulia marathon kule Mbeya, hii ni moja ya pili ya mbio zinazoandaliwa na mwanasiasa, so let wait and see.
Kwa sasa sisi wakimbiaji tushakubaliana kuchagua mbio za kushiriki, Mbio zilizoandaliwa na wanasiasa itakuwa ni marufuku unless wawe wame outsource coordinators au wamepata consultant ambaye ni mtaalam km walivyofanya NBC Marathon kwa ku hire mtaalam iwe International au local consultants!!!
 
Tatizo hawa akina Jokate, akifanya jambo hata kuosha sahani, tayari kaweka mitandaoni, hata akiongea na mkulima wa mihogo Kisarawe anaweka online, sasa hapo ndio utendaji kazi au ni kujitangaza tu. Kuna tofauti kubwa sana kufanya kazi iwe na impact kwa jamii na kujitangaza tangaza as if unafanya matangazo ya K-Vant.
 
yatarekibishika mwamzo mgumu.hata mbuyu ulianza kama mchicha
Ikiwa siasa itabaki kwenye issue za kisiasa na vitu vingine vitaendeshwa kitaalam.
Wakimbiaji both sosho na Maxpro na Pro tunaamini Rmrunning is a science...
 
Ama kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii

Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.

Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.

Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.

View attachment 1719125
Sawa mheshimiwa DC tumekusikia.
 
Ama kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii

Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.

Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.

Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.

View attachment 1719125
Huyu binti yuko smart, na kazi zake nazipenda pia. Vile vile huwa inaniuma sana ninapomuona halafu hajaolewa
 
Ama kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii

Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji wanamuangusha sana mheshimiwa DC kwa kutochangamkia fursa.

Ubunifu,uhamasishaji,ucheshi,uwazi,kusimamia maslahi ya wengi,kusikiliza na kutatua shida zao huo ndio uongozi bora.

Hongera Jojo kwa kuifanya kisarawe kuwa kubwa kulingana na ukaribu wake na jiji la Dar.

View attachment 1719125

Anafanya Yeye kama Yeye au nyuma yake kuna Nguvu kubwa ya Kimamlaka iliyochochewa na Mahusiano ya Adam na Eva yaliyoratibiwa Kimkakati kabisa tokea mwaka 2017?

Umeshajiuliza ni kwanini Wilaya zingine ambazo ni very potential Economically nchini au zinahitaji Msukumo kama wa Kisarawe huko hazipewi Vipaumbele japo nazo zinaongozwa na Wanawake kama huyo Jokate wenu wa Kisarawe?

Hongera zake jana niliona mahala pia akimpongeza ' Bamsampu ' wake aliyetupotea ghafla kwa muda mrefu, ila BBC ( Uingereza ) Al Jazeera ( UAE ) na Ntv ( Kenya ) ndiyo pekee tu wanajua Maficho aliyojifichia.
 
Tatizo hawa akina Jokate, akifanya jambo hata kuosha sahani, tayari kaweka mitandaoni, hata akiongea na mkulima wa mihogo Kisarawe anaweka online, sasa hapo ndio utendaji kazi au ni kujitangaza tu. Kuna tofauti kubwa sana kufanya kazi iwe na impact kwa jamii na kujitangaza tangaza as if unafanya matangazo ya K-Vant.
Neno
 
Back
Top Bottom