DC Julius Mtatiro: Nchi nyingi sana duniani hununua umeme kutoka Nchi Jirani kwa sababu mbalimbali

DC Julius Mtatiro: Nchi nyingi sana duniani hununua umeme kutoka Nchi Jirani kwa sababu mbalimbali

Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma

Hizo nchi zote ulizoorodhesha ziko Jirani, SIsi Ethiopia siyo Jirani yetu
 
Mambo mengine ni kuachana nayo tu
IMG-20250310-WA0037.jpg
 
Issue ya Kununua Umeme kwa Majirani hakuna Mtu anapinga Ni jambo La Kawaida ndio mana Mikoa kama Kigom, Rukwa na Kagers ilikuwa offgrid kwasbabu ya Umbali na Vyanzo vya uzalishaji ila kwa sasa yote ipo Connected kwenye Grid na Tulisheherekea kama Sehemu ya Mafanikio kuondoa Mikoa hio Offgrid

Umeme Ni National Security matter kiufupi Kucheza na Nishati ni Kucheza na Usalama wa Taifa letu ndio mana Sera za Wizara ni Kufanya Kila liwezekanalo ili tupate Energy Independence hii ndio Policy za Wizara

Kufanya Investment kubwa kama Bwawa la Mwalimu Nyerere na Kesho kuamka na kusema Kuwa gharama za Kusafirisha Umeme mpaka Upande wa northern ni ghali sana Kuliko Kununua Umeme Ethiopia sisi tutakushangaa sana sana. Tena Unataka Kununua umeme katika mazingira ambayo una Surplus kwenye Generations

Leo unataka Ufanye Ukanda wa Kaskazini utegemee umeme wa Nje ya Nchi vipi hayo mataifa unayotaka Yakuuzie kesho yakiamka yana Scarcity au Yakaingia Kwenye Vita unategemea wataendelea kukuzia?
 
Kura is nothing nowdays.
Sijui itakuwaje, nipo njia panda kuhusu wapinzani wasusie uchaguzi au washiriki tuwape wabunge wa kutosha wakashinikize reforms bungeni.
Kwa mfumo uliopo sasa CCM wanajihakikishia mgombea wao wa uraisi kutangazwa Mshindi regardless ....
Simalizii sentensi sina mwanasheria kwa sasa.
 
Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma
Msituletee hoja za kulinganisha ili kuhalalisha wizi wenu.
Umbali kutoka Arusha mpaka Rufiji ni Km 805.6
Umbali kutoka Arusha mpaka Ethiopia ni Km 1,941.6
Hivi nyie CCM mnatuchukuliaje?
 
Msituletee hoja za kulinganisha ili kuhalalisha wizi wenu.
Umbali kutoka Arusha mpaka Rufiji ni Km 805.6
Umbali kutoka Arusha mpaka Ethiopia ni Km 1,941.6
Hivi nyie CCM mnatuchukuliaje?
Ukiwakazia wanakwambia hujawaelewa
 
swali letu ni hvi
Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma

Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma
swali letu,
kwa nn tununue wakati mlituambia bwawa letu uzalishaji wake ni mkubwa mpk kuuza nje ya nchi?
 
Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma
TANZANIA INAKOPA FEDHA KUTOKA ULAYA, MAREKANI, then yenyewe inatoa misaada kwa MALAWI wakati wa majanga...🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣😂🤣😂🤣
 
Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma
Swali si hilo bwana Mtatiro, Kama tunao umeme wa kutosha (Na ninyi mlisema kwa majigambo kwamba upo wa kumwaga) kwanini tunanua nje, acheni hadithi zenu za uongo. Kwa hiyo mtakaouza Kenya haupotei?????? Hizi hekaya za Msigwa, anaona kabisa kuwa si kweli ila anajikaza. Kama mnaoupeleka Kenya haupotei, inakuwaje unaotakiwa uende Arusha unapotea? Tunaomba ufafanuzi.
 
Kuelekea uchaguzi Mkuu nilisema tutaona mengi; Sasa, sasa, tumekwisha yasikia mengi tayali, tumekwisha ona mengi na sasa tunaendelea kuyaona na kuyasikia mengi. Maana yake ni kwamba Kutoka Morogoro hadi Manyara, Arusha na Tanga ni mbali zaidi kuliko kutoka Ehiopoa hadi kufika Mikoa ya kaskazini. kama itakua ni kweli basi hapo kuna shida. Kwa upande mwingine ni wakati wa tanzania kutafakari upya garama zetu za umeme.
Eeh washushe Bei ya umeme- wetu wa hapa nchini kwa kweli !
 
Sisi tunauzia nchi zipi au sifa nzuri ni kununua na si kuuza .......!
 
Nchi nyingi duniani hununua umeme kutoka nchi jirani kwa sababu mbalimbali, kama vile upungufu wa uzalishaji wa ndani, umbali wa umeme wa ndani unaopelekea umeme mwingi kupotea njiani, gharama nafuu ya umeme wa nje, na ushirikiano wa kanda. Hapa ni baadhi ya nchi zinazonunua umeme kutoka nchi nyingine:


AFRIKA

1. Tanzania – Inapanga kununua umeme kutoka Ethiopia kupitia mpango wa Eastern Africa Power Pool (EAPP).
2. Kenya – Inanunua umeme kutoka Ethiopia na Uganda ili kuongeza upatikanaji wa nishati.
3. Rwanda – Inanunua umeme kutoka Uganda na Tanzania ili kufidia uhaba wa uzalishaji wa ndani.
4. Burundi – Inategemea umeme kutoka Rwanda na DRC.
5. South Africa – Inanunua umeme kutoka Msumbiji (Cahora Bassa Dam) na Namibia.
6. Botswana – Inanunua umeme kutoka Afrika Kusini kupitia Southern African Power Pool (SAPP).
7. Zambia – Inanunua umeme kutoka DRC na Afrika Kusini wakati wa uhaba.
8. Namibia – Inategemea ununuzi wa umeme kutoka Afrika Kusini na Zambia.

ULAYA

1. Uingereza – Inanunua umeme kutoka Ufaransa kupitia nyaya za chini ya bahari (interconnectors).
2. Ujerumani – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Denmark, hasa umeme wa nyuklia na upepo.
3. Italia – Inanunua umeme kutoka Ufaransa na Uswizi.
4. Hispania – Inanunua umeme kutoka Ufaransa.
5. Uholanzi – Inanunua umeme kutoka Ujerumani na Ubelgiji.

ASIA

1. India – Inanunua umeme kutoka Bhutan, ambayo inazalisha umeme mwingi wa maji.
2. Bangladesh – Inanunua umeme kutoka India.
3. China – Inanunua umeme kutoka Urusi na nchi jirani kama Laos kupitia mikataba ya nishati.

AMERIKA

1. Marekani – Inanunua umeme kutoka Kanada, hasa umeme wa maji kutoka Quebec.
2. Mexico – Inanunua umeme kutoka Marekani.
3. Brazil – Inanunua umeme kutoka Paraguay kupitia bwawa la Itaipu Dam.
4. Chile – Inanunua umeme kutoka Argentina.

Kwa hiyo, ununuzi wa umeme kati ya nchi ni jambo la kawaida duniani, hasa kwa nchi ambazo hazina vyanzo vya kutosha au zinatafuta umeme wa gharama nafuu kutoka nchi jirani.

Mwisho wa Kukopi na kupesti

ASSIGNMENT: kwa kutumia para moja waeleze wana JF kile ambacho umejifunza kutokana na andiko hili adimu la Mwanasheria na DC Julius Mtatiro. Usitukane
Pia, Soma
Hatuwaelewi mzee!! Msiliingize taifa kwenye hasara kizembezembe! Kwanza kaskazini Kuna bwawa la nyumba ya Mungu linazslisha umeme mwingi tu utakaotosha kulisha kaskazini kama ni kuongeza ni kidogo sana.
 
Ye
Sawa Mtatatiro. Kwa nini na sisi tusiwe kama Ethiopia, France na Canada ambao hawanunui ila wanauza?

Tanzania ina vyanxo vingi sana vya umeme. Kwa nchi kama yetu knatakiwa ilitakiwa tuwe wazalidhsji wakubwa. Imagine tuna JKN dam, Mtera, Kihansi. Bwawa la Mungu, Pangani, Kidatu na umeme wa gas.
Yeah kwa nini wasiige hizo nchi zingine zinazouza umeme hapo lazima kuna wanufaika ndio maana wanapigia debe
 
Back
Top Bottom