DC Julius Mtatiro: Nchi nyingi sana duniani hununua umeme kutoka Nchi Jirani kwa sababu mbalimbali

Nashauri Tununue umeme mikoa yote ya mipakani kujazia Aruha,Kilimanjaro,Manyara, Mara, Mwanza, Kigoma, Mbeya, Rukwa na tukinunua wa nje wa kwetu maeneo hayo tunaufanyaje?
 
Umeme ni Security issue ! tukinunua na hili nalo tuliangalia kwa marefu
 
Nashauri Tununue umeme mikoa yote ya mipakani kujazia Aruha,Kilimanjaro,Manyara, Mara, Mwanza, Kigoma, Mbeya, Rukwa na tukinunua wa nje wa kwetu maeneo hayo tunaufanyaje?
Bonge la swali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…