johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa.......!Ina maana bila kuwachapa wasingelipa hiyo fidia?
Tanzania inapitia kipindi kigumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa.......!Ina maana bila kuwachapa wasingelipa hiyo fidia?
Tanzania inapitia kipindi kigumu sana.
Anahalalisha uvunjifu wa sheria alioufanya.Ina maana bila kuwachapa wasingelipa hiyo fidia?
Tanzania inapitia kipindi kigumu sana.
Unajua kuna watu mpaka leo hawajajua hii nikarne ya ngapi, usishangae mzungu kukutupia ndizi mwafrika ukasema umedharauliwa wakat akili yako inafanana sawa na wanyama wa porini. Dunia ya leo mpaka nyani ana take selfie.Utamchapaje fimbo mtu mzima makalioni mbele ya watu na waandishi? This dude should stop evolving and and walk up right. This is 21st century.
FAKIN ANNOYING
Kwani asingewachapa wasingelipa? Huu ukuu wa wilaya sijui wanapataje!Kumbe hata ukiua unaweza kujiita mzalendo? Dulllness.Mkuu wa wilaya ya Arusha mh Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo xitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ukiua nini?Kwani asingewachapa wasingelipa?.Huu ukuu wa wilaya sijui wanapataje!Kumbe hata ukiua unaweza kujiita mzalendo?????! Dulllness.
His thinking is very stupid.Mkuu wa wilaya ya Arusha mh Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo xitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Tunaomba Mh.Rais amfukuze kazi huyu, maana kuchapa viboko raia katika mazingira yale ni kosa. Angekuwa raia wa kawaida ungesikia watu fulani wakisema "Amejichukulia Sheria mkononi'.Lakini Sasa hivi Kama hawaoni.hivi huyo mpumbav alishaona Magufuli anacharaza watu viboko?
je bila kuwacharaza viboko wasingelipa hiyo hela? huu ni upuuzi wa hali ya juu sema tu wengi hawajaelimika huyu alikua ni wa kufungulia mashtaka kabisa, yeye anapiga mtu kama nani? ni mahakama au
Kama ni vyema na haki,tunaomba mh.rais awe anawachapa viboko viongozi wa chini yake wanapokosea.Aanze na mkurugenzi wa Geita.Mkuu wa wilaya ya Arusha mh Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo xitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hata wawekezaji wataogopa kuja kuwekeza maana DC mwehu kama huyu anaweza kuamua kuwachapa bakora ili amfurahishe mfalmeMkuu wa wilaya ya Arusha mh Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo xitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Another Bashite au yule Mkuu wa Wilaya ya Arumeru (Aliyekuwa Msemaji Club ya Yanga)...Huyo dogo inaonekana upstairs hamna kitu kabisa. Na amejistukia tayari kuwa mda wowote ni kutumbuliwa ndio maana ya haya maigizo yoote. Shame on him!Mkuu wa wilaya ya Arusha mh Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo xitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa wilaya ya Arusha mh Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo xitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Uzi wako huu mtag ndgHahahaaaa.........wahehe hawatakagi ujinga!
Mbona fedha waliyotozwa haitoshi? Dawati na kiti gharama ni shs. 100,000/=, fedha zilizolipwa zinatosha seti 54 tu wakati seti zilizoibwa ni zaidi ya 100.Hahahaaaa.........wahehe hawatakagi ujinga!
Mijitu ya ajabu mpaka kero yanajipendekeza sana ila kuwa nao makini ni matapeli na mashirikina sanaHaaaaahaaaa kk wewe kweli unawajua tupo nao ofisini hp mdananda kishenzi
3020 hakutakuwa na nchi inayoitwa TanzaniaWawekezajj wezi wala hatuwataki nyinyi mkichukua nchi baada mwaka 3020 mtawaruhusu kuharibu miundombinu ya nchi kwa kuwa nyinyi ni mazezeta!!
Mimi huwezi kunichapa labda unifunge kamba au pingu miguu na mikono ila tofauti na hapo zitapigwa ngumi nzito mpaka FFU waje kuamulia.!Utamchapaje fimbo mtu mzima makalioni mbele ya watu na waandishi? This dude should stop evolving and walk up right. This is 21st century.
FAKIN ANNOYING