DC Kihongosi: Wanaohoji mimi kuwachapa bakora Wafanyabiashara hawana hoja. Niliowachapa wamelipa sh 5,400,000.00 kama fidia

Angefanya hivi mkoani mara hawa kwa wakurya angekiona cha moto.

Wamuulize bwana slow slow kule ziwani alikuwa akijidai kwenda usiku kufanya doria kilichomtokea anajua mwenyewe hadi kuacha udisiii
Hivi Polepole amewahi kuwa DC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…