Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In the rule of law huo sio uzalendo...Ndio uzalendo unavyotaka!
Sheria zipo ili zifuatwe yeye ni mahakama?Kipi bora JELA au VIBOKO?
So next time wananchi wakimpiga mwizi mawe atasema wasichukue sheria mkononi?Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenan Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo zitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna mhehe wa aina hiyo anayejikomba ,mhehe kanyooka hapendi dharau au kudhulumiwa au uonevuWahehe ni kati ya viumbe wa ajabu wenye ujinga mwingi na kujikomba nawafahamu vizuri sana
Yote haya wanayafanya ili kumfurahisha mtu mmoja kwa sababu anapenda huo ujinga.Huyu DC nae mchele mchele tu, Kaja arusha na mihemeko utadhani atapewa uwaziri
Kitendo alichofanya DC ni kitendo cha kihuni hivyo tukilaani kwa nguvu zote isije kuwa ndio utamaduni mpya wa kuonesha uzalendo. Pia nimuombe mh Rais amuondoe kwenye nafasi hiyo ya ukuu wa wilaya maana anamuharibia taswira ya taifa letu mbele ya jamii kimataifa ya watu waliostaarabika.Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenan Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo zitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Isije ikawa wewe ndiye mjinga na mpumbavu kuliko hao uliowatajaHuyu DC ni Mjinga na Mpumbavu kama ulivyo wewe.
Yaani mm nisingekubali aiseeUtamchapaje fimbo mtu mzima makalioni mbele ya watu na waandishi? This dude should stop evolving and walk up right. This is 21st century.
Sheria inasema mtu akiiba apelekwe mahakamani. Siyo mbwa fulani anajitokeza na kutembeza bakora bila kibali cha mahakama. Narudia tena akiniletea hizo ngumbaru naisambaza hiyo receiption hatakaa atabasamu maishani stupid!Kaibe na wewe halafu utueleze Sheria ipi inaruhusu kuiba.
Wananchi tuamke sheria ya kujitetea ipo wazi.Siku yeye akiitwa na Na wajuu wake hata RC tu na akamtandika Viboko hadharani atamuona RC ni mzalendo? Kuna mambo hayataki mihemko na sifa za kijinga hio ni kutafuta publicity, Very cheap and unprofessional achukuliwe hataua huyo kwa kudhalilisha watu
Ukweli yeyote anayekubaliana na kitendo cha DC kuchapa watu si tu mpumbavu ni zaidi ya mnyama wa porini!Isije ikawa wewe ndiye mjinga na mpumbavu kuliko hao uliowataja
Huyu mtu anastahili kushitakiwaMkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenan Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.
Kihongosi amesema fedha hizo zitatumika kutengeneza madawati mapya.
Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mimi nakubaliana naye...kuchapa viboko siyo unyama...enzi za Nyerere watu walichapwa viboko wakati Fulani hasa baadhi ya Wala rushwa...Nyerere alisema unamchapa viboko mla rushwa wakati wa kuingia na wakati wa kutoka bill Shaka mahabusu au jela unamchapa Tena vingine I'll akamuonyeshe mke wake...Ukweli yeyote anayekubaliana na kitendo cha DC kuchapa watu si tu mpumbavu ni zaidi ya mnyama wa porini!