Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna haja ya kuanzisha shule Ya kukuza uelewa Kwa viongozi wapuuzi kama huyu DC,anaongea ambayo mama hayataki,akiwemo ofisini kufikia kesho itakuwa ni doa Kwa serikali yetu.
Sawa ametia DOA ...ila kasema ukweli

Nani ambaye hajui kilichofanyika 2020?
Naamini ukikaa peke yako na kutafakari kwa utulivu unaona jinsi Serikali ilivyohakikisha bunge likakuwa LA chama kimoja ..

JPM alituachia shida sana
 
Shida ya hapa kwetu kauli kama hizi ni rare kusikia zikikemewa na watu wenye dhamana ya kuzikemea, na mazingira kama haya ndiyo hufanya baadhi ya watu kusema "kuna double standard" - kwamba kuna baadhi ya watu wanaweza kusema chochote, lakini kuna wengine wakisema tu inakuwa issue.
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza!

R.I.P CCM
R.I.P Tanzania

God Bless Tanganyika.
 
Anachoongea ni ukweli mtupu,kaamua kutupa mwanga wa mambo yafanyikavyo.
 
Karma is real
 
Majizi ya kura yanazidi kufunguka mbinu zao chafu.

4R za mama Abdul hizo.

Cc: Lucas Mbwa Wa Shamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…