DC Mstaafu Sabaya ashiriki mazishi Ya Esther Mahawe Mkoani Arusha

DC Mstaafu Sabaya ashiriki mazishi Ya Esther Mahawe Mkoani Arusha

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Leo ilikuwa ni siku ya Majonzi na huzuni kubwa sana kwa wana Mbozi na Mkoa mzima wa Songwe.Ambapo ilikuwa ni siku ambayo Aliye kuwa DC wa Mbozi Mheshimiwa Esther Mahawe alikuwa anapumzishwa katika Nyumba yake ya Milele Mkoani Arusha.

Ambapo katika Mazishi hayo viongozi mbalimbali kutoka mkoa wa Songwe wakiongozwa na Mheshimiwa RC Danieli Chongolo wameshiriki katika Mazishi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe afariki Dunia

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka mkoani Songwe wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa ndugu Radwell Mwampashe walikuwepo Msibani na kamati mbalimbali za siasa ngazi ya wilaya na mkoa.

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka maeneo mbalimbali Nchini ndani ya mkoa wa Arusha na nje ya mkoa wa Arusha walikuwepo .hasa kwa kuzingatia mahusiano mazuri aliyokuwa nayo na watu Mheshimiwa Esther Mahawe wakati wa uhai wake.lakini pia ikumbukwe kuwa amewahi pia kuwa mbunge .

Hivyo kifo chake kimegusa na kuwaumiza watu wengi sana .ndio maana viongozi mbalimbali wamesafiri kutoka maeneo mbalimbali Nchini kwenda mkoani Arusha kushiriki mazishi hayo.

Ambapo katika Mazishi hayo imeshuhudiwa pia Mheshimiwa Sabaya DC wa zamani wa hai akifika msibani na akishiriki katika hatua zote za kuaga mwili wa Marehemu.
IMG-20250120-WA0078.jpg
IMG-20250120-WA0079.jpg
IMG-20250120-WA0080.jpg
IMG-20250120-WA0081.jpg
IMG-20250120-WA0075.jpg
IMG-20250120-WA0078.jpg
IMG-20250120-WA0079.jpg
IMG-20250120-WA0080.jpg
IMG-20250120-WA0081.jpg
 
DC pekee nchini Tanzania aliyekuwa na kesi ya ujambazi 🐼
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo ilikuwa ni siku ya Majonzi na huzuni kubwa sana kwa wana Mbozi na Mkoa mzima wa Songwe.Ambapo ilikuwa ni siku ambapo Mheshimiwa Esther Mahawe alikuwa anapumzishwa katika Nyumba yake ya Milele Mikoani Arusha.

Ambapo katika Mazishi hayo viongozi mbalimbali kutoka mkoa wa Songwe wakiongozwa na Mheshimiwa RC Danieli Chongolo wameshiriki katika Mazishi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe afariki Dunia

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka mkoani Songwe wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa ndugu Radwell Mwampashe walikuwepo Msibani na kamati mbalimbali za siasa ngazi ya wilaya na mkoa.

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka maeneo mbalimbali Nchini ndani ya mkoa wa Arusha na nje ya mkoa wa Arusha walikuwepo .hasa kwa kuzingatia mahusiano mazuri aliyokuwa nayo na watu Mheshimiwa Esther Mahawe wakati wa uhai wake.lakini pia ikumbukwe kuwa amewahi pia kuwa mbunge .

Hivyo kifo chake kimegusa na kuwaumiza watu wengi sana .ndio maana viongozi mbalimbali wamesafiri kutoka maeneo mbalimbali Nchini kwenda mkoani Arusha kushiriki mazishi hayo.

Ambapo katika Mazishi hayo imeshuhudiwa pia Mheshimiwa Sabaya DC wa zamani wa hai akifika msibani na akishiriki katika hatua zote za kuaga mwili wa Marehemu.View attachment 3207822View attachment 3207824View attachment 3207825View attachment 3207826View attachment 3207829
Sabaya alituhumiwa kwa mengi lakini nimegundua yalikuwa ni mambo ya kisiasa.

Alichokifanya kwa Dikteta Mbowe alikuwa sahihi ..

Tuhuma zangu kwake naomba kuzifuta.

GOD BLESS TANGANYIKA
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo ilikuwa ni siku ya Majonzi na huzuni kubwa sana kwa wana Mbozi na Mkoa mzima wa Songwe.Ambapo ilikuwa ni siku ambapo Mheshimiwa Esther Mahawe alikuwa anapumzishwa katika Nyumba yake ya Milele Mikoani Arusha.

Ambapo katika Mazishi hayo viongozi mbalimbali kutoka mkoa wa Songwe wakiongozwa na Mheshimiwa RC Danieli Chongolo wameshiriki katika Mazishi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe afariki Dunia

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka mkoani Songwe wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa ndugu Radwell Mwampashe walikuwepo Msibani na kamati mbalimbali za siasa ngazi ya wilaya na mkoa.

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka maeneo mbalimbali Nchini ndani ya mkoa wa Arusha na nje ya mkoa wa Arusha walikuwepo .hasa kwa kuzingatia mahusiano mazuri aliyokuwa nayo na watu Mheshimiwa Esther Mahawe wakati wa uhai wake.lakini pia ikumbukwe kuwa amewahi pia kuwa mbunge .

Hivyo kifo chake kimegusa na kuwaumiza watu wengi sana .ndio maana viongozi mbalimbali wamesafiri kutoka maeneo mbalimbali Nchini kwenda mkoani Arusha kushiriki mazishi hayo.

Ambapo katika Mazishi hayo imeshuhudiwa pia Mheshimiwa Sabaya DC wa zamani wa hai akifika msibani na akishiriki katika hatua zote za kuaga mwili wa Marehemu.View attachment 3207822View attachment 3207824View attachment 3207825View attachment 3207826View attachment 3207829
Si DC mstaafu, alitenguliwa sababu ya miscounduct
Hamna mahali ka staafu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo ilikuwa ni siku ya Majonzi na huzuni kubwa sana kwa wana Mbozi na Mkoa mzima wa Songwe.Ambapo ilikuwa ni siku ambapo Mheshimiwa Esther Mahawe alikuwa anapumzishwa katika Nyumba yake ya Milele Mikoani Arusha.

Ambapo katika Mazishi hayo viongozi mbalimbali kutoka mkoa wa Songwe wakiongozwa na Mheshimiwa RC Danieli Chongolo wameshiriki katika Mazishi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe, Esther Mahawe afariki Dunia

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka mkoani Songwe wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa ndugu Radwell Mwampashe walikuwepo Msibani na kamati mbalimbali za siasa ngazi ya wilaya na mkoa.

Lakini pia viongozi mbalimbali wa chama na serikali kutoka maeneo mbalimbali Nchini ndani ya mkoa wa Arusha na nje ya mkoa wa Arusha walikuwepo .hasa kwa kuzingatia mahusiano mazuri aliyokuwa nayo na watu Mheshimiwa Esther Mahawe wakati wa uhai wake.lakini pia ikumbukwe kuwa amewahi pia kuwa mbunge .

Hivyo kifo chake kimegusa na kuwaumiza watu wengi sana .ndio maana viongozi mbalimbali wamesafiri kutoka maeneo mbalimbali Nchini kwenda mkoani Arusha kushiriki mazishi hayo.

Ambapo katika Mazishi hayo imeshuhudiwa pia Mheshimiwa Sabaya DC wa zamani wa hai akifika msibani na akishiriki katika hatua zote za kuaga mwili wa Marehemu.View attachment 3207822View attachment 3207824View attachment 3207825View attachment 3207826View attachment 3207829
Umehamia kwa Sabaya sasa,umalaya kitu kibaya sana
 
Mbona marehemu kacheleweshwa kuzikwa..!!
 
Ni mstaafu japo anaweza kurejeshwa katika nafasi nyingine yoyote ile ya uteuzi.
Kustaafu kuna sifa zake, including mafao, na utumishi wa muda mrefu bila kutumbuliwa

Huyu alitumbuliwa na alikuwa na kesi, hamna cha kustaafu, teuzi ni jambo lingine kabisa.
 
Kustaafu kuna sifa zake, including mafao, na utumishi wa muda mrefu bila kutumbuliwa

Huyu alitumbuliwa na alikuwa na kesi, hamna cha kustaafu, teuzi ni jambo lingine kabisa.
Aliwekwa pembeni kupisha uchunguzi. Kwa hiyo anaweza kurejeshwa tena kwenye nafasi yoyote ile serikalini kwa kadri atakavyoona Mheshimiwa Rais
 
Ohh mlikuwa mnasubiri mkutano wa kumpitisha mama?
Ni ratiba Ndivyo ilipangwa hivyo. Na ni kawaida kwa kiongozi mkubwa kama Huyo na ambaye alikuwa anafahamika sana.kumbuka amewahi pia kuwa mbunge lakini pia alikuwa DC kigoma huko kabla ya kuhamishiwa Mbozi.

Uliza swali jingine kama lipo nikujibu
 
Aliwekwa pembeni kupisha uchunguzi. Kwa hiyo anaweza kurejeshwa tena kwenye nafasi yoyote ile serikalini kwa kadri atakavyoona Mheshimiwa Rais
Kuwekwa pembeni ndio kutumbuliwa. Huwezi fanyiwa uchunguzi bado ukawa upo kazini.

Ndio maana alishtakiwa, lazima uachishwe hiyo nafasi.

Wether atarejeshwa or not haijalishi, huyo si mstaafu ni ex-dc, tena alitumbuliwa period
Usirembeshe maneno
 
Esther mahawe alikua dada mzuri na nakumbuka Baba yake marehemu kanali mahawe akiwa mkuu WA mkoa kigoma enzi hizo niliwahi kuroll nae mara kadhaa mbuga za gombe alikua mcheshi sana
 
Back
Top Bottom