Duuuh hii kali, maana wadada siku hizi wanashiriki na waume zaidi ya watano wakudumu bado wale wa leo leo achukue chake aondoke.
Kwa mazingira hayo mpaka muda wafikia zaidi mwezi akipima upepo ampe nani.
Nadhani hiyo sheria itungwe waadhibu walobeba wanaopata mimba bila kutambua mimba ya nani kisha tuendelee