technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
kwanini ni vigumu kwenda sekondari bila matokeo ya darasa la saba? tuanzie hapo kwanza tujue je yeye alienda direct secondary bila kupita primary? cheo cha udc kinabwetesha xana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwezo wake mdogo sana baada ya kuhamia ccmHivi huu wivu wa kijinga wa watu wazima kwa watoto tumeutoa wapi...!
Sherehe ya masaa manne tu Serikali ya tunduru inaathirika vipi...!
Nilishangaa mmoja alipopiga marufuku majoho kwa baadhi ya sherehe badala ya kutofautisha rangi na design ya hayo majoho kwani hata chekechea akivaa hapunguzi kitu ikiwa wazazi wake wameridhia bila shurti ashiriki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja waje kukupa muongozo
anasubiri mje mmupe muongozo yeye hana
Yaan ni tabu tupuHii nchi kila Wilaya ina sheria zake na kila kata ina taratibu zake.
Hivi kwenye eneo ambalo mimba utotoni na utoro ni mkubwa vile nadhani ni muhimu kwa wazazi wana haki yakuwapingeza watoto wao kwa kuhitimu....huu mtindo wa kuongea bila kutafakari una madhara makubwa Kama hukuKufanya sherehe kwa kila hatua ya uhitimu wa masomo ni hiari ya mtu na asizuiwe.
#KaziNaBata
Yeye ni Mkuu wa wilaya....... Ukitaka kafanyie wilaya nyingine siyo Tunduru!Sasa huku ni kuingilia uhuru binafsi wa watu.
Kama mtu anataka kufurahia hatua yake ya kumaliza la saba wewe ni nani hadi umzuie?
Yeye ni Mkuu wa wilaya....... Ukitaka kafanyie wilaya nyingine siyo Tunduru!