DC Mtatiro: Marufuku kufanya Sherehe za darasa la saba, fedha za Sherehe wazitumie kuwasomesha wasiwe mzigo kwa Taifa

DC Mtatiro: Marufuku kufanya Sherehe za darasa la saba, fedha za Sherehe wazitumie kuwasomesha wasiwe mzigo kwa Taifa

munaosherekea siku ya kuzaliwa nanyi munasubiriwa maana hakuna faida kwa Taifa kufanya hizo birthday zenu🤣🤣😂
 
Wanatukataza tusiwafanyie watoto wetu sherehe ya kuhitimu darasa la saba wao wanawafanyia watoto zao birthday part kila mwaka tena za gharama huu si ujinga ebu watuache tena watuache kabisa
 
Sherehe ni kitu muhimu sana katika Jamii mimi nimekuja kuona nguvu ya sherehe kwa sasa Japo mimi sifanyi birthday ila wanangu wote nawafanyia birthday on time ina wajenga sana na wanaona wako loved inawapa confidence sana Mimi hata Graduation ya chekechea ya mwanangu sipuuzi ntatenga tu muda nitokee anione sasa ya la saba ni achievement kubwa lazima watoto wafurahi..Kama yeye ana frustration aache watoto wa wengine wafanye.
 
Elimu ya msingi ni kubwa sana Mtatiro, ni elimu ambayo mwanafunzi anakaa darasani kwa muda mrefu zaidi kuliko elimu zingine zote. Miaka 7 siyo mchezo, kundi kubwa la waliomaliza darasa la saba, linamiliki uchumi mkubwa sana na ndilo linaloendesha msukumo wa uchumi katika nchi hii.


Kuhitimu darasa la saba ni maendeleo makubwa sana katika hatua ya binadamu. Kama anaamua kufurahi na wanafunzi wenzake tena kwa pesa za wazazi wake tatizo liko wapi? Mbona watu wanafanya sherehe ya siku ya kuzaliwa kila mwaka iweje washindwe kufurahia hatua ya kuhitimu darasa la saba?

Tujenge utamaduni wa kupongezana kwa kila hatua ya jambo fulani linapohitimishwa vizuri. Hii itasaidia wale ambao hawataendelea na masomo ya sekondari, kujiamini zaidi na kuchangamkia fursa mbalimbali za kujenga uchumi kwa nchi yetu.

Nawatakia kheri ya mwaka mpya 2020, pokeeni baraka za mwenyezi Mungu awaangazie nuru ya uso wake, mafanikio tele na kuwapa amani Amina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu ya msingi ni kubwa sana Mtatiro, ni elimu ambayo mwanafunzi anakaa darasani kwa muda mrefu zaidi kuliko elimu zingine zote. Miaka 7 siyo mchezo, kindi kubwa la waliomaliza darasa la saba linamiliki uchumi mkubwa sana na ndilo linaendesha msukumo wa uchumi katika nchi hii.


Kuhitimu darasa la saba ni maendeleo makubwa sana katika hatua ya binadamu. Kama anaamua kufurahi na wanafunzi wenzake tena kwa pesa za wazazi wake tatizo liko wapi? Mbona watu wanafanya sherehe ya siku ya kuzaliwa kila mwaka iweje washindwe kufurahia hatua ya kuhitimu darasa la saba?

Tujenge utamaduni wa kupongezana kwa kila hatua ya jambo fulani linapohitimishwa vizuri. Hii itasaidia wale ambao hawataendelea na masomo ya sekondari, kujiamini zaidi na kuchangamkia fursa mbalimbali za kujenga uchumi kwa nchi yetu.

Nawatakia kheri ya mwaka mpya 2020, pokeeni baraka za mwenyezi Mungu awaangazie nuru ya uso wake, mafanikio tele na kuwapa amani Amina.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amina!
 
Angeanza kufuta za chekechea kwanza. Kila mtu hupenda kufurahia hatua alofuzu kwenye maisha. Anataka kutuambia miaka saba ya mtoto kwenda shule haikuwa na maana?

Kuagana na watoto wenzao na walimu waliokaa nao miaka saba si kitu kibaya. Labda angeweka muongozo wa namna shughuli itavyofanyika lakini kufuta ninukosefu wa hekima za kiuongozi. Hii na hakika mkuu wa mkoa ataipindua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Seriously..I see where the DC is coming from..amegundua Taifa letu Lina watu waliobweteka Kwa elimu zao ambazo hazina mchango Mkubwa katika kuleta maendeleo ktk jamii..Mtatiro anaongoza wilaya na ameamua kutumia platform hiyo kutuma ujumbe(wenye kufikiria deep wataelewa) Mbuyu uanza Kuota kama uyoga..Na anachosema mheshimiwa mkuu wa wilaya ni kwamba..wasomi wa nchi hii hawana competition ya taaluma, wakipata cheti wanafanya sherehe but aftermath hawana tija ktk Taifa KAZI kuzunguka na vyeti kutafuta ajira na wakipata changamoto kidogo utawasikia wakilalamikia wageni wanaokuja kuchukua ajira nchini.. Well-done DC ... People has to Smart up... THINK
 
Umefanya research kidogo labda kujua on how hizi sherehe zinarudisha vipi mwanafunzi kutokutaka kuendelea na shule kwa sababu ya kuridhika na graduation hizo ambazo zimekuwa zikifanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Sana tu, kimsingi mwanzo wa maovu uanzia, kwenye sherehe na maandalizi yake watoto wanakuwa tayari ku-commit adultery, piga marafuku DC hata ya form IV, Na tatizo jipya limezuka la wanarika (wenye umri mmoja) sasa ipo hadi kwa watoto miaka 12,ni balaa, wanakusanyana, wanapika, halafu..... Hamna wa kuwasimamia.
 
Yaani inapofikia DC kuwa na mawazo ya kipumbavu nammna hii huwa nasikitika sana,DC inapata wapi muda wa kudeal na mambo madogo madogo kama haya huku ukitumia conclusion za kishenzi hivi ? Basi tu, mambo yapo mengi yenye tija kwa taifa letu yeye anaona sherehe ndo kikwazo,2020, Jpm awe makini sana katika uteuzi wa madc na Rcs
Hivi vyeo vya u DC ni mzigo kwa taifa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani inapofikia DC kuwa na mawazo ya kipumbavu nammna hii huwa nasikitika sana,DC inapata wapi muda wa kudeal na mambo madogo madogo kama haya huku ukitumia conclusion za kishenzi hivi ? Basi tu, mambo yapo mengi yenye tija kwa taifa letu yeye anaona sherehe ndo kikwazo,2020, Jpm awe makini sana katika uteuzi wa madc na Rcs

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unafikiri nani anaweza kudeal na mambo haya, mbunge,diwani hawako tayari kusema ukweli kwa jamii iliyomchagua akihofia kuwakera hata kama anaona mambo yanaaribika, hata kama hauna choo, mbunge hayuko tayari kusema nanyi kuwa ni hatari, anahisi atanekana anawadharau, hiyo ni kazi ya mojawapo ya DC, K/tarafa, na mtendaji kata/kijiji.
 
Back
Top Bottom