Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo si jukumu la nacte bali tcu.Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka...
Bado unazungumzia elimu kwenye u dc mkuu angalia zifa nyingine za ziada! Sifa hizo za ziada kama u sanii ndoo umembeba kufika hapo alipo. Kwani wewe kwa maoni yako dc anatakiwa awe na elimu gani na wapi imeandikwa kwenye sheria za utumishi wa ummaNiliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka...
Kenya wanasoma hadi darasa la nane na degree wanasoma miaka minne.Kama ingekuwa form 6 lazima.... waliosoma kenya wote.. ama wakenya wasingekuwa na degree holder hata mmoja?
Unajua kuna wakenya kibao wamesoma udsm wakina miguna miguna na jaji mkuu wao ila kenya hawakusoma form 6 sababu haipo kwao.
Pia unajua kujua michezo kama soka, basketball, riadha inaweza kukupa nafasi ya kusoma havard ama yale bila kujali hujafika form 6 wala nini?
Yenye followersNadhani mtu yeyote maarufu mwenye Account Instagram anafaa kuwa DC [emoji1787]
Kwani Hata akiwa na PhD ndio itakayo kuwa DC!? Achen ushamba wa kutukuza vyeti ambavyo wengine wanavyo kwa kuvua chupi kwa prof. Tunahitaji watu wenye skills za uongozi sio wenye vyeti.Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka..
Mkuu teuzi Kama teuzi , mh Rais mteuwe SAIDA KALOLI,pitia wimbo wake wa chambua Kama kalanga ,anafaa ,naona UDC umekua Kama wimbo wake ,wa chambua Kama karangaNiliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka...
Apo ongeza miaka tena miwili kwa medical student na mwaka mmoja kwa engeneering kozi kwa tanzaniaKenya wanasoma hadi darasa la nane na degree wanasoma miaka minne.
Kenya. 8+4+4=16
Tanzania 7+4+2+3=16
Kenya wanasoma hadi darasa la nane na degree wanasoma miaka minne.
Kenya. 8+4+4=16
Tanzania 7+4+2+3=16
Ukiona imeongezeka kwetu na kule ni hivyo hivyo. Sio kwamba Kenya medical pia wanasoma miaka minne hiyo hiyoApo ongeza miaka tena miwili kwa medical student na mwaka mmoja kwa engeneering kozi kwa tanzania
Fuatilia, utajua na kuelewa vizuri Kabisaa.Je wakenya waliosoma degree udsm.. wana miaka sawa ya shuleni kama watanzania?
Nisichokielewa Ni uteuzi pendwa Kuna PhD holders na Ngumbaru wenzetu. Wanaangalia nn haswa?Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka...
Fuatilia, utajua na kuelewa vizuri Kabisaa.
Yote uliyoandika hayaondoi ukweli si kila chuo cha nje cheti chake kinakubalika hapa nchini.Huna pesa ya kusoma nje ya nchi wewe
Hakuna mtanzania asiyependa mwanae akasome Oxford, University of london
Ada ni kubwa wenzetu wahindi wamewekeza kumlipia mtoto wa chekechea dollar 30,000 Marekani ni kawaida sana...
Kwani yeye ni mhindi.Mnashangaa kitu gani?
Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?...
Siwezi kuongea kitu ambacho sina uhakika nacho kwa sababu sina data za wala sijui sifa za hao wadahiliwa.Jibu swali maana unaongea uongo.. hata vyuo vya kenya zipo degree kibao za miaka mitatu kama udsm na wakenya wanazisoma hizo za 3 yrs...
Watu wanapenda kupata elimu bora ila tatizo pesa.Mnashangaa kitu gani?
Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?...
Ndio maana nikasema hutu Chipanga ndio wewe mwenyewe.🤣🤣Mnashangaa kitu gani?
Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?...
Ni utaratibu kwa wewe maskini usiye na PesaKwani yeye ni mhindi.
Kwa mfumo wa Tanzania Kuna njia mbili tu za kupata elimu ya chuo kikuu,
Direct qualifications (form 6) na Equivalent qualifications.
Sasa yeye alienda kusoma kwa kupitia route gani? Utaratibu wa degree za huko India ni upi?