DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

Hio ni Bachelaor of education hapo Nairobi University unaposema. Niambie Tanzania ni chuo kipi wanafundisha Education kwa miaka minne?

 
Acha uongo vyuo vya maana haya nyie wenye pesa hamuendi. Eti Bangarole ndio chuo gani huko vichochoroni?

Udsm hawaendi vilaza. Vilaza vinakimbilia India na China.
 
Ukiona mbongo kaenda kusoma Russia, China, India, Ukraine au Malaysia mara nyingi huwa ni kwenye vyuo ambavyo ni trash kabisa.

Ndio maana wengi huwa wanarudi hawajielewi.
Not true my friend. Hizo nchi kuna entry requirements huendi hivi hivi. India ambapo ndugu zetu wengi wakiugua wanaenda kutibiwa

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo vyuo vya maana haya nyie wenye pesa hamuendi. Eti Bangarole ndio chuo gani huko vichochoroni?

Udsm hawaendi vilaza. Vilaza vinakimbilia India na China.
Mkuu kama umefika udsm utacheka sana sana

Kuna college of engineering and technology au Coet, Huko hakuna vifaa vyovyote ni upuuzi, Halafu kozi miaka 4

Kuna shule ya biashara inaitwa UDBS zamani FCM kama faculty of commerce huko ndio kwenye vituko kwenyewe, Wanafunzi wanasoma mambo ya computer ya mwaka 1970 the huko, Wanafundishwa what is Hardware and Software, Chuo kikuu kweli

Ukiwa na pesa huwezi peleka mtoto shule ya kata au ya serikali

Kuna shule zenye unafuu sio hizo za akina professor hata kuongea hawawezi


Vijana wanamaliza chuo kikuu hawajui kitu cha kuwasaidia maisha
 
Huenda mchopanga ni mmoja wao??????
Huenda???
You are not sure
Acha uchawi uende mbinguni mkuu


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Wabongi tumezidi upumbavu, pigeni kelele huku mwenzenu akila mezani pa wakubwa
 
Isome tena mada mkuu,
 
Kapige kazi Mr. Mchopanga, Mama ana imani na ww....... acha wenye div. one na distinction zao wapige kelele
 
Je NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
NACTE hawatathubutu kufanya vinginevyo kwani itakuwa sawa na kukata matawi waliyokalia. Mimi nina wasi wasi hata huko NCTE shahada zilizopatikana kwa njia hizo zimetamalaki. Niliwahi kufanya utafiti wangu usio rasmi na matokeo yanasikitisha. Wapo wengi humu Tanzania ambao shahada zao ni magumashi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…