DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

Sitaki utaje vitu unavyomiliki ewe msomi. Mbona mgumu kuelewa? Halafu usijichekeshe chekeshe kuua soo.

Wewe si msomi, nataka utueleze nini umefanya kinachokutofautisha wewe na elimu feki ya Mchopanga.
Mimi sijipendekezi kutafuta teuzi kama Mchopanga. Elimu yangu imenipa uhuru.
 
Mimi sijipendekezi kutafuta teuzi kama Mchopanga. Elimu yangu imenipa uhuru.
Wewe na Mchopanga nani yuko huru zaidi?

Kwa taarifa yako Mchopanga ndiye msomi zaidi kuliko wewe uliyepita form 6 na kwenda chuo.


Amekuwa huru kiasi kwamba akaweza kuchangamana na wakubwa mpk ameteuliwa kuwa DC.

Sasa yuko huru kifikra, kijamii na atakuwa huru zaidi kiuchumi baada ya kupata uDC.

Mkaruka vipi mkuu? Huwezi kuwa huru kama una njaa ya tumboni ama mfukoni.
 
Wewe na Mchopanga nani yuko huru zaidi?

Kwa taarifa yako Mchopanga ndiye msomi zaidi kuliko wewe uliyepita form 6 na kwenda chuo.


Amekuwa huru kiasi kwamba akaweza kuchangamana na wakubwa mpk ameteuliwa kuwa DC.

Sasa yuko huru kifikra, kijamii na atakuwa huru zaidi kiuchumi baada ya kupata uDC.

Mkaruka vipi mkuu? Huwezi kuwa huru kama una njaa ya tumboni ama mfukoni.
Nani kakwambia mimi nina njaa ?

Mwenye njaa yuko huko anazurula na kutoa toa macho huku akisifia wanaume huko Lumumba kutafuta chochote.

Mimi ni complete free human creature.
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je, NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
U-DC hauna haja ya aina hiyo ya cheti!! ni swala la kujua kusoma na kuandika tu!! rejea awamu ya tano
 
Mimi ni complete free human creature.
Kama ni kweli upo free, basi jiepushe na mijadala ya kulaumu akina Mchopanga. Wanaolaumu wanateswa na mzimu wa kukosa uteuzi ili watibu njaa zao. Maana hawana hoja za msingi.
 
Kama ni kweli upo free, basi jiepushe na mijadala ya kulaumu akina Mchopanga. Wanaolaumu wanateswa na mzimu wa kukosa uteuzi ili watibu njaa zao. Maana hawana hoja za msingi.
Wewe takataka, watu lazima walaumu kwasababu huyo Mchopanga haendi kufanya kazi nyumbani kwa Samia.
 
Wewe takataka, watu lazima walaumu kwasababu huyo Mchopanga haendi kufanya kazi nyumbani kwa Samia.
Usiseme watu, ukajitoa. Jiweke na wewe. Lkn hoja yangu ni kwamba toeni sababu za msingi. Vinginevyo mnadhalilika tu hapa.

Mwenzenu anashona suti akijiandaa kuapishwa. Huku mnaojiita wasomi mliopitia form 6 Kisha mkaenda vyuo mkitokwa povu midomoni.
 
Dunia ya leo imeisha badilika tukubali pia kubadili mifumo yetu ya elimu ili kuendana na wakati na mahitaji ya sasa suala la form six siyo kigezo wala maana wapo pia watu wananzia huku chini na wanafanya vizuri tu
 
Dunia ya leo imeisha badilika tukubali pia kubadili mifumo yetu ya elimu ili kuendana na wakati na mahitaji ya sasa suala la form six siyo kigezo wala maana wapo pia watu wananzia huku chini na wanafanya vizuri tu
Hata mm naona ni ujinga kupuuza elimu ya mtu sabb tu hakusoma form 6. Elimu kazi yake kubwa ni kumpatia mtu maarifa. Sasa hao wanaolaumu wanamaanisha kwamba maarifa yote ktk mfumo wa elimu yako form 6 ?

Au mtu akipata maarifa bila ya kupita form 6, maarifa hayo huyeyuka? Ni ujinga.
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je, NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
hoja ni nini mbona huko nyuma watu walikuwa wanatoka direct form four kwenda chuo kikuu na kufanya vizuri.labda ungesema hakufannya vizuri kidato cha nne hapo kuna hoja lkn kama alikuwa na credit nne mimi sioni hoja.
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je, NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
Mkuu degree yake haitatusaidia hata Ndugai ana masters, tuna taka utendaji kazi uliotukuka na siyo vyeti
 
Hata mm naona ni ujinga kupuuza elimu ya mtu sabb tu haplkusoma form 6. Elimu kazi yake kubwa ni kumpatia mtu maarifa. Sasa hao wanaolaumu wanamaanisha kwamba maarifa yote ktk mfumo wa elimu yako form 6 ?

Au mtu akipata maarifa bila ya kupita form 6, maarifa hayo huyeyuka? Ni ujinga.
Ndugai ana masters analisaidia nini taifa? elimu ya bongo nayo ni elimu?
 
hoja ni nini mbona huko nyuma watu walikuwa wanatoka direct form four kwenda chuo kikuu na kufanya vizuri.labda ungesema hakufannya vizuri kidato cha nne hapo kuna hoja lkn kama alikuwa na credit nne mimi sioni hoja.
Kabudi ni Professor amesaidia nini nchi? elimu zao hazina faida yoyote kwa taifa.
 
Itakuwa hujui maana ya elimu. Rudi shule...

Yaani unasema aliyesoma hapa bongo hadi form 4 halafu akaenda nje kuchukua shahada huyo hajaelimika kwasabb hajasoma form 6?

Elimu humpa mtu maarifa. Kwahiyo unataka kusema maarifa yote yamefichwa form 6???

Mlienda shule kupata connection za ngono tu.
Form four yetu hii ya NECTA haina sifa ya kuku bridge kwenda University dunia nzima. Isipokuwa tu kama utapitia kwenye program maalumu ili ikuongezee sifa au Utaspend muda zaidi ya wenzako kwenye course yako.

Jaribu kuomba admission ya chuo kikuu hapo Kenya kwa matokeo yako ya form four ili usome degree. Halafu lete mrejesho hapa.
 
Elimu ya secondary haifundishi utaalamu wowote, kwahiyo ni vizuri kuwa na elimu ya chuo ya muda mrefu na secondary muda mfupi. Maana sehemu kubwa ya kazi tunatumia elimu ya chuo.
Vizuri.

Ila hii hoja yako ina tofauti na mada ndogo ya mazungumzo yetu.

Tanzania tuna bahati kwa sababu tuna mifumo yote miwili. Hii ni fursa nzuri kwetu.
 
Mnashangaa kitu gani?

Kwani kusoma chuo kikuu mpaka usome Form Six?

Prof Mwandosya Mark J, hakusoma Form Six, Bali alisoma DIT Halafu akaenda udsm baadae Aston university

Wahindi kule Posta watoto wao wanasoma ulaya vyuo vikuu vya dollar 50,000 kwa mwaka walisoma form Six?

Wahindi wangapi wanafanya kazi Agha khan na Muhimbili tena mabingwa lakini mbona hawakusoma Form Six

Kenya wanaishia Form Four na kwenda chuo kikuu

Mimi niliwahi fanya kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu na Nilimpata ajira rasmi bila hata matokeo ya mwaka wa pili,

Watu wanaangalia uwezo wa Mtu sio cheti

Kuna vyuo unafanyishwa mitihani kabla ya kuingia ukiweza hata ukiwa darasa la saba Unaanza masomo

Elimu hii ya Form Six ni kuwapotezea watoto muda na maisha ya kutafuta Pesa tu

Miaka miwili Form Five na Six, Mtoto anaweza kujifunza utaalamu wa programming na akawa nguli

Miaka miwili inatosha mtoto kusoma Software mbalimbali na kuwa nguli

Form six ni mfumo wa Uganda na Tanzania wa kishamba sana

Ukiwa na pesa na upo vizuri mtoto unamsomesha kuanzia chekechea ulaya unalipa dollar 60,000 kama Milioni 120 Kwa mwaka

Ukiwa na pesa huna haja ya kusoma elimu yetu hii ya kitanzania ya kupotezeana muda,

Mtoto akimaliza Form Four unamtafutia College Marekani au Uingereza anajifunza mambo ya maana hata mwaka baadae unamlipia chuo kikuu huko huko

Angalia wahindi kule Posta na ni matajiri jinsi watoto wao wanavyokuwa smart kichwani baada ya Form Four, Mtoto anapelekwa college ulaya bei dollar za kutosha


Wabongo tatizo pesa, Watanzania wachache wana uwezo wa kumlipia mtoto ada Milioni 200 kwa mwaka au Milioni 100 kwa mwaka

Watanzania Tuendelee na Bodi yetu ya mikopo huku tukilia lia Retention fee

Ahaaaa
Nimekuelewa vizuri sana but mfano wako wa Kenya HAPANA, ni kweli Kenya wanaishia form 5 but remember wao msingi wanakwenda hadi darasa la nane so kimsingi ni kama masomo ya form 1 kwao ndio darasa la nane, by numbers miaka ya kukaa shule ya Kenya na Tanzania or Uganda ni sawa tu. Mengine nakuunga mkono but edit hapo tu
 
Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka.

Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa Mchopanga huyo alipata udhamini na moja kwa moja kwenda kwenye masomo hayo kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2009 ambapo aliondoka nchini na kudahiliwa chuoni hapo bila ya kuwa na matokeo hayo.

Upo uwezekano kuwa kwenye elimu ya huyu DC mteule kuna utata na usanii na hata shahada yake ni ya mambo ya usanii.

Anajisemea kuwa anatarajia kwenda chuo kikuu cha Dar es Salaam kusomea shahada ya pili kwenye mahusiano ya umma.

NB: Wapo marafiki zangu kibao waliotokea hapo Bangalore na kujitapa kuwa wana shahada ila walipoambiwa kuleta vyeti wengi wao ni ukweli walitunukiwa shahada zao za kwanza kwa kutumia matokeo ya vyeti vya kidato cha nne kama "Direct entry qualifications" na huenda Mchopanga ni mmoja wao. Je, NACTE wameanza lini kuthibitisha kuwa shahada za aina hii ni credible kwa nchi yetu?
Kenya ni nchi ambayo haina system ya kidato cha sita. chi nyingine ni Afrika Kusini (Ina vidato vitano). Unasemaje juu ya hilo? Pia kuna nchi zingine huwa zina bridging programme za mwaka mmoja kwa wale wanaotaka kusoma shahada za kwanza, unasemaje juu ya hilo?
 
Back
Top Bottom