DC Ole Sabaya atoa onyo kwa taasisi ya United Mission, inayotapeli Wananchi Wilayani Hai

DC Ole Sabaya atoa onyo kwa taasisi ya United Mission, inayotapeli Wananchi Wilayani Hai

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa wilaya ya Hau mh Ole sabaya amewaonya matapeli wote waliojiingiza wilayani humo kwa lengo la kuwalaghai na kuwadhulumu wananchi wanyonge

Ole sabaya amesema hayo wakati aliposikiliza malalamiko ya wanakijiji wa Machame waliotapeliwa na taasisi moja ya kijamii ambayo haijasajiliwa na serikali.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

===

Mkuu wa Wilaya Ya Hai Lengai Ole sabaya ameiamuru TAKUKURU kuwakamata watu wawili ambao wamekuwa wakihamasisha wananchi kutoa pesa kati ya Elfu 22 hadi elfu 85 kwa madai ya kuwaletea chakula kwa miaka 5 na kuwapa Ajira.

Sabaya alifika Kijiji cha Tindigani
Wilayani Humo ambapo wananchi zaidi ya 300 walilalamikia taasisi ya United Mission Tanzania kwa kuchukua pesa zao kwa madai hayo, ambapo hata hivyo viongozi wa Taasisi hyo walikiri kuwa taasisi hiyo haikusajiliwa na imekuwa ikichukua fedha hizo katika Mkoa wa Kilimanjaro na Mikoa mingine minne kwa muda wa miaka mitatu sasa.
 
Wanyongeeee ? Huku kuna tuhuma kampiga diwani wa sombetini mpaka akalazwa hospitali Arusha city wiki mbili ziliopita.habari mpya ndio hiyooo
 
Bahati mbaya kabisa unaweza kuta una degree Tena ya UDSM
 
Una kumbukumbu na tukio la raisi ndilo lililompa yule mtwiter u famous? Nadhani watu wengi waliacha kumwamini yule mtu hapo.
Lile tukio hata Zitto alidhalilika sana!

Yule mtwita hata juzi alisema Bilal kaaga baadae alipoonekana kwenye msiba wa Seif akanza kusema wamempeleka ili kumprove wrong.

Kiufupi ukiwa na akili timamu huwezi kumuamini.
 
Lile tukio hata Zitto alidhalilika sana!

Yule mtwita hata juzi alisema Bilal kaaga baadae alipoonekana kwenye msiba wa Seif akanza kusema wamempeleka ili kumprove wrong.

Kiufupi ukiwa na akili timamu huwezi kumuamini.
Tatizo mtwitter amekuwa shabiki wa vifo na maparapanda yake. Anashangilia vifo kabisa.
 
Mama naona leo utalala na jinsi baada ya taarifa hii,

Usirudie kuwa msukule wa yule jamaa tena
Huwa najiulizaga Mara mbilimbili watu wa chadema Kama wapo sawa kwenye ubongo.
Babati mbaya kabisa hadi viongozi wao wameshatumbukia huko
 
Back
Top Bottom