Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Sabaya ni moto Kigogo kawalisha tango jeusi wajinga fulani huko tiwtani
Sabaya anachapa kazi kama kawaida
Sabaya anachapa kazi kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia wewe utaumbuka zaidiHujui kitu kijana , nyamaza kimya kuepuka kudhalilika
Vipi kuhusu chaka la Samuel Lema alilotuingiza juzi?Sabaya ni moto Kigogo kawalisha tango jeusi wajinga fulani huko tiwtani
Sabaya anachapa kazi kama kawaida
Madogo wehu tu wao kutengeneza projo tuVipi kuhusu chaka la Samuel Lema alilotuingiza juzi?
Kwani Dr Mpango hayupo ?Angalia wewe utaumbuka zaidi
Tatizo lako unadhani unajua sana kumbe dalolo tu.
Sabaya yupo sanaa tu anawacheka maboya tu mnavyoshupaza shingo Tiwtan bwashee
Video sio ya Leo tumelishwa tango poliUnaikumbuka habari hii ilitoka mwaka juzi??? Mpaka akawa anatutengenezea senema za kutembea mitaani akiwakamata hao matapeli?
Ya lini?Video sio ya Leo tumelishwa tango poli
Endelea kuamini hivyo. Lakini kuna siku utakuja humu kuyafuta mwenyewe uliyoyaandika. Ni suala la muda tu utagundua ni upande gani wenye akili timamu.Huwa najiulizaga Mara mbilimbili watu wa chadema Kama wapo sawa kwenye ubongo.
Babati mbaya kabisa hadi viongozi wao wameshatumbukia huko
Haihitaji kuwa na PhD kugundua huko chadema hakuna wenye akili timamu. Viongozi wanashangilia vifo vya uongo vya coronaEndelea kuamini hivyo. Lakini kuna siku utakuja humu kuyafuta mwenyewe uliyoyaandika. Ni suala la muda tu utagundua ni upande gani wenye akili timamu.
Hiyo ya 2020Aisee! Kwa hiyo kumbe bado yupo yupo sana huko Hai eeehh!!! [emoji4]