Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Anatumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumwa
Huyu jamaa nashindwa hata nimuitaje. Tunaongozwa na watu wasiostahili kabisa. Mwenyezi Mungu tusaidie baba, tunaangamia. Watanzania tunapitia kipindi kigumu sana. Pray for Tanzania.
Huyu ni wa kupumuliwa kisogoni na watoto wa mujini hadi akome.Akiongea na wadau wa Hai Kilimanjaro Dc Ole Sabaya amesema wametupwa chini kina Robert Amsterdam,Ushoga na VibarakaView attachment 1618723
Hili eti ndio jembe la Magu.Akiongea na wadau wa Hai Kilimanjaro Dc Ole Sabaya amesema wametupwa chini kina Robert Amsterdam,Ushoga na VibarakaView attachment 1618723
Sabaya ni makonda wa pili
Masai jinga kabisa.na ndo lilioleta huu Uzi hapa.Hili eti ndio jembe la Magu.
Vipi DC zile plate namba za UN unazotumia ukiwa katika ujambazi zinahifadhiwa kwenye ofisi za umma?
Kamgaragaza kivipi? Kwani Sabaya ndio mbunge mteule wa Hai?Kiboko ya Mwenyekiti,tunatakiwa kwenda nae kwa uangalifu maana kamgaragaza Freeman
Kwanza hilo andiko halimanishi hivyo, huu ufafanuzi ni kumkufuru Mungu na kwa namna yoyote ile, Munga hatanyamazaAkiongea na wadau wa Hai Kilimanjaro Dc Ole Sabaya amesema wametupwa chini kina Robert Amsterdam,Ushoga na VibarakaView attachment 1618723
Uko sahihi sana mkuu. Tatizo watanzania ni waoga vibaya sana, na huu uoga maccm ndio nayautumia kwa manufaa yao.Mwenyezi hasaiidii watu wasiotaka kujisaidia, sisi tunaona kabisa serikali inaminya haki zetu za msingi lakini tunasubiri watu wengine waje watusaidie badala ya sisi waminywaji kuanza kuonesha upinzani wa madhira hayo.
Tukiendelea na akili hizo za kisengez, maccm yataifaidi sana keki ya taifa bila hata bughdha.
Mwisho wa Ole Sabaya utakuwa mbaya mno. Kama hataishia kula kwenye majalala basi atakufa ameachama mdomoAkiongea na wadau wa Hai Kilimanjaro Dc Ole Sabaya amesema wametupwa chini kina Robert Amsterdam,Ushoga na VibarakaView attachment 1618723
Kusema hana aibu ni understatement! It is beyond lunacy.
He is embodiment of what the country has become; a creepy, disgusting and despotic banana republic!
Yaani dhulma, uonevu, udhalimu yamekuwa mambo ya kushangiliwa! Embu oneni wanashangilia na kuimba nae wakijua kabisa alichofanya!
Halafu Mbowe ndio alikuwa anaomba maridhiano na hawa watu aisee!
Kuna orodha ndefu sana ya watu ambao wamepewa vyeo ambavyo hawakustahili kabisa.Huyu jamaa nashindwa hata nimuitaje. Tunaongozwa na watu wasiostahili kabisa. Mwenyezi Mungu tusaidie baba, tunaangamia. Watanzania tunapitia kipindi kigumu sana. Pray for Tanzania.
Anakubalika na wanao jipendekeza ukisema hivyo utaeleweka lakini mtu anayejielewa huwezi kumkubali mtu wa aina yake!Roho yako itaumia sana ukija kugundua kuwa Ole Sabaya anavyopendwa na kukubalika Hai, Mwenyekiti anapapasa. Hashiki kitu hapo.
Nilishanga niliposhuhudia mwenyewe kwa macho yangu tarehe 26/27/28/29, October, 2020. Na nilikutana naye Uswaa, Mwowe msikitini, Lyamungo Sinde, Uraa na Bomang'ombe.
FACT: ANA KUBALIKA KWA WANANCHI, MAARUFU NA WAPENZI WENGI MACHAME KULIKO DC YEYOTE YULE TANGU UHURU.