HakikaMungu hadhihakiwi - hizi KUFURU mwisho wake uko karibu sana!
Wewe Una lako jambo sio bureJamaa mbona kuna fununu?
HeheheheJamaa mbona kuna fununu?
MhhhhHakika
Na hiyo itawajia saa na siku ambayo sisi binadamu hatuifahamu, isipokuwa yeye Mungu peke yake ndiyo anaijua hiyo siri ambayo atamdondosha huyo mkuu, ambaye amewatesa sana wananchi katika kiwango kisichoelezeka
Muda utatupa majibu....Jamaa mbona kuna fununu?
etsMuda utatupa majibu....
Fununu tu hizoYupo hai bwana .Corona haiwezi kumuua huyo kijana. Immunity yake ni kubwa.
hawa ndio watu wanaotakiwa na awamu hii ya 5! nahisi shetwani kaweka kambi yake Tz.Halafu hao wapambe wamejawa na uoga wanajidai kumsikiliza kwa makini, kumbe wanafiki tu,watanzania sio wajinga na Mungu wa kweli hadhihakiwi.
Ana kitambi!Corona inawawinda mabonge na wafuga vitambi.Yupo hai bwana .Corona haiwezi kumuua huyo kijana. Immunity yake ni kubwa.
Unajua hii lugha yako inaweza kukupeleka mahali pabaya hadi ukajutia huu upumbavu wako?Kwa hiyo wewe umeungana na shoga Amsterdam na upumbavu wake?
Wewe na lisu mwanasheria wa kimataifa mmeshindwa au?
Kwa hiyo Amsterdam na kundi lake wataonekana mashoga na wapumbavu kuwahi kutokea.
Hawakushauriwa au walitaka kutumia miujiza?
TISS kaziniMbona huyo Ole nimemuona jana kwenye taarifa ta habari ya saa mbili usiku ITV? Au ni hbr ya zamani?