Blueprint 9
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 798
- 1,381
Ni kweli kwanza mpaka hapo ameshapunguza idadi ya madada mtaaniHuo kweli ujasili.Hila kama unaelewa dini ya kiislam kuwa mume ana nafac nne nisawa kabisa.kwani kunawanawake ambao kazi zao kila siku ni za kusafiri. Kibiologia mwanaume hawezi kukaa cku 30 lakini wanawake wanaweza.ni bora mume aoe hila atambue kuwa wote ni wake zake na haki sawa kwa sawa.mimi binafsi hilo nilishalifanya na maandalizi ya kwenda kununua vitu ambavyo vinatakiwa mwanamke avikute nyumban jikon nilienda nikavinunua.mungu atuwezeshe wanawake tuwasaidie wenzetu nao wapate nusura .
Acha wivu,wivu ni ugonjwa dada...,usifikirie sana tendo la ndoa fikiria vipi utaweza kupata maisha bora katika maisha ya ndoa...Ningekua ni mimi pepo kwa style hii hapana.
Sio kabisa ni iman ya dini ukiwa nayo.Usikute yeye ni chakula ya mkuu
Hapa ndio "ninapoulaani" ukristo na kuukubali uislamu.Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Ukute alimwambia kiutani mwenzake kalichukulia kwa usiriazi.Ye mwenyewe anazuga tu ila kaumia.
Mzigua90 usiseme na nyie na wewe tunakusubiri instagram umkaribishe mwenzio, halafu angalieni wanawake wajanja sana, si ajabu kampata ambaye anamfikisha kileleni vizuriiiiiii zaidi ya huyo mume wake sasa ameamua kumtupia mpira mwenzie, kwani serikali imembana akae ofisini hadi saa 5 usiku? Sasa utaona kitakacho fuata ni yeye mke wa kwanza kumuachia mume wake muda mwingi akalale kule sasa utajiuliza na yeye hamu inaishaje, ahaha acheni bhana wanawake hawa hata ukiwa naye mmoja tu unataka kumkimbia maana ana demand sana apigwe hata vi 4 kila baada ya siku 2 mwanaume unachoka kweli kweli una haha sasa letewa wa 2 sasa tuone hizo nguvu utazipata wapi za kila siku maana kila ukigeuka unakuta huyu hapa ana hamu kali sana anataka, zamu ikiisha ya huyu unakutana na mwingine ana hamu doh, mnajitahidi sana kunywa juice za matunda kila mlapo chakula cha mchana na jioni, kahawa kwa wingi, chai ya maziwa na uji wa muhogo, mara tende mara maziwa ahaha mi sinywagi vyote hivyo pamoja ya kuwa nina uwezo ila lol nakomaa na hali yangu tu inanitosha sio niongeze vitamin ili nipate nguvu za kwenda ku pump lol ndio maana kiharusi na tezi dume havita waacha kisa uroho wa kila aina ya K*MA. Poleni hongereni kwa kuwa na nguvu za kutosha mtazeheka haraka kabla ya umri.Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
hahaaaahaaa..ngoja wakusikieHiyo ndio dini ya kweli sio huku kwetu eti mke moja kama pua.
swali lko hili limenipeleka mpka kwa malikia Elizabeth...Mkuu wa wilaya tu majukumu mengi na Samia atasemaje
amesema kamtafuta yeye . hajaletewa. sasa shosti si uniunganishe na mumeo?
kweli mkuu..hahaaa halafu hayo ni maneno tu hatujui kilichopo moyoni mwakeHuyo mwanamke lazima ana limchepuko linamkamua ni kama anapunguza kasi mumewe ya kumfuatilia maana jamaa atakuwa busy na papuchi mpya.
Unaroho mbaya na husomi maandiko[emoji35]Mimi hiyo Pepo ingenipita, maana huo moyo sina.
Mke mmoja michepuko kibao until death do us apart,me,waif na msururu wa michepuko.Hiyo ndio dini ya kweli sio huku kwetu eti mke moja kama pua.
Paka rangi iwe nzuri[emoji57]Unaroho mbaya na husomi maandiko[emoji35]