DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Kumbe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sikuona hiyo
 
Anaishi na wake zake hao wawili nyumba moja!?

 
Haya mambo wanaweza wazanzibar sio sisi wabongoland. Hapo kajikosha tu.
Ewaaaa! Umeonaeee.

Na hata hao Wazanzibar ni wachache dada. Mie nina Dada yangu wa hiari alishinda analia Ofisini kisa mume kamwambia anataka kuongeza mke.

Ni sunna sawa ila yataka moyo na walio wengi unakuta wanajikosha kama ulivyosema ila moyoni huwa hawajaridhia.
 
Wadada wengi hata humu Wana tembea na wanaume sio wao. Uchafu Uchafu Uchafu. Afadhali mhalalishe tu. Kwa Wakristo Ndio mbaya zaidi.
 
huyu dc naye ana yake tu ana majukumu gani mazito ya kusababisha amshauri mume aoe,akiwa wazir huyu si atataka ndoa ivunjike,mi nafikili naye kapata kamchepuko huko kwa watawala sasa anataka zaidi uhuru
Ni namna ya kumuacha hiyo, anamuona sio level zake tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…