Ana-balance equation kitaalam.Huyu DC atakuwa na mpango wa kando.
acha ushamba wewe,Ukristo umeanza baada ya Yesu kuja kuleta wokovu miaka 2000 iliyopita,hao unaowasema hawakuwa wakristo,kuwa mkristo maan yake u mfuasi wa krist.Wanawake wa namna hii ni wachache sana. Lakini haya mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja hayajaanza leo. Hata kwa Wakristo, Biblia imeonesha ni jinsi gani watu wa zamani walivyokuwa na mke zaidi ya mmoja na bado MUNGU alikuwa upande wao. Mfano mzuri na Yakobo(Israeli) na mfalme Daudi. Hawa walikuwa na wake wengi na bado MUNGU alikuwa anawabariki usiku na mchana. Ukisoma Biblia utaona jinsi wake za Yakobo walivyomruhu alale na "mahouse girl" wao pia tena bila kinyongo kabisa.
Mimi huwa nasema kuwa MUNGU huwa anajali sana kilicho ndani ya "roho" ya mtu na siyo mambo ya mwili kama kuwa na wake wangapi. MUNGU ni Roho, na yeye huangalia zaidi yale yaliyo ya "rohoni". Kama unampenda MUNGU kwa moyo wako wote na kuzishika "Amri" zake, basi hata kama utaoa wanawake 100 wala yeye hana shida. Pia ukisoma Amri zote za MUNGU hakuna hata moja inayokataza kuoa mke zaidi ya mmoja, hakuna, siyo kwenye agano la kale wala siyo kwenye agano jipya.
Harafu na hivi ni mweupeAna-balance equation kitaalam.
Nioneshe ni wapi kwenye Agano jipya imeandikwa hakuna ruhusa kuao mke zaidi ya mmoja. Usiniambie kuhusu 1 TIMOTHEO 3:2, 1 TIMOTHEO 3:12, TITO 1:6 sababu hivi vifungu vinazungumzia kuhusu "Maaskofu na Mashemasi" na siyo waumini wote.acha ushamba wewe,Ukristo umeanza baada ya Yesu kuja kuleta wokovu miaka 2000 iliyopita,hao unaowasema hawakuwa wakristo,kuwa mkristo maan yake u mfuasi wa krist.
~Nakushangaen sana wakristo hmjui hata biblia ndio maana mmebaki na mesale ya waumini,
Yesu alipokuja mambo ya torati yaliachwa na sasa yamekuwa mppya,Mke mmoja me mmoja
Yaani aoe tu, ikiwezekana na mahari nampa mimi.Mwanaume mwenye akili atashtuka. Ila mjinga atakuona una dini kweli kumbe na wewe unamuweka mbali ujilie vizuri vitu vyako.
Kuna samaki wengi sana baharini... wa aina tofauti.Ukipata hamu unajiongezea mme ktk eneo lako la majukumu au utampigia simu mme akufuate huko huko?
Jamaa alinitumia hiyo screenshot ya bibie DC, na caption kuwa mi ningeua mtu. Nikamjibu, afadhali nipate msaidizi maana ofisini kuna nafasi ya kazi mkoa mwingine, cheo kikubwa zaidi, acha niiombe. Vipi nianze kukutafutia msaidizi au utatafuta mwenyewe? Wewe, kashtuka huyo, hadi nikaogopa.Hahahaaaa. Jeuri mwenzie kUsudi
Aisee!Kuna samaki wengi sana baharini... wa aina tofauti.
Huyo ndo mwanaume sasa.Jamaa alinitumia hiyo screenshot ya bibie DC, na caption kuwa mi ningeua mtu. Nikamjibu, afadhali nipate msaidizi maana ofisini kuna nafasi ya kazi mkoa mwingine, cheo kikubwa zaidi, acha niiombe. Vipi nianze kukutafutia msaidizi au utatafuta mwenyewe? Wewe, kashtuka huyo, hadi nikaogopa.
Kaanza kusema Siku ukinikubalia nioe/ nichepuke hata huko kwa bimdogo haitasimama. Haya mambo inatakiwa niyafanye kwa siri, siyo kwa msaada wako.
Acha uchochezi mkuu [emoji1] [emoji1]Hapa nahisi kuna safari moja itaanzisha nyingine!kwaiyo yeye DC yupo bize kuliko makamu wa Raid!!
Haswaaa tena. Salma kamaliza wanaume wa mji yani kuolewa na Van kastirika haswaa.