sometimes ukifika juu sana kama unapanda mwamba au sehemu iliyoinuka unapotaka kuruka ..usiruke ukiwa na mawazo ya kusema nimeanguka bali ruka kwa mawazo kua unapaa.When you are at the edge of the cliff dont jump to fall...jump to fly.Mkuu wa wilaya kafika juu na ameamua kuruka kwa kupaaa na sio kuanguka.Flying without wings...