Hahahaa. Sasa si unaletewa we inasema tu sawa. Chibeb wa kawaida bwana sema anajipenda sana. Na mjanja mjanja tofauti na Zainab. Sema zamu za Zainab aasahau.safi sna hata mimi nina moyo huo
ila ningekuwa mimi nisingemleta mzuri hivo maana unaweza kukosa zamu hivihvi
Huyo hana ubavu wa kumkomesha mumewe. Kaamua kuandika hivyo iki hata awe anakumbukwa kwenye zamu.wengine wanasema haya lakini kinyume chake anamkomesha kimya kimya usiamnini kila analosema mwanamke hasa walioko kwenye situations kama hizi
amesema kamtafuta yeye . hajaletewa. sasa shosti si uniunganishe na mumeo?Hahahaa. Sasa si unaletewa we inasema tu sawa. Chibeb wa kawaida bwana sema anajipenda sana. Na mjanja mjanja tofauti na Zainab. Sema zamu za Zainab aasahau.
Nimeshangaa sn mwanaume hawezi kukuelewa kama upo busy basi ni bora tutengane kuliko kuniletea mtu wa pili
Hata yeye hajapokea. Anajiosha tu ili watu wasimseme kaolewa mke wa piliila ni wanawake wachache sana ulimwenguni wanaoweza kulipokea swala hili moja kwa moja kiurahisi.
mara nyingi mpaka wazozane na mume ndio akubal kishingo upanse
Majukumu gani? Mwanamke gani anaezidiwa na majukumu hadi ashindwe kumtunza mumewe? Huo udc ndo umfanye ashindwe kutekeleza majukumu ya mke? Akiwa waziri itakuaje sasa?We ungefanyaje mkuu na majukumu ndio hivyo tena yanakubana..??
Tupo wengi tu.ila ni wanawake wachache sana ulimwenguni wanaoweza kulipokea swala hili moja kwa moja kiurahisi.
mara nyingi mpaka wazozane na mume ndio akubal kishingo upanse
Sikupi like Leo,si umuombee dua.Trust me. hapo mchepuko tena wa higher level in politics unahusika kushawishi kuoa mke wa pili ilimheshimiwa wa wilaya apate upenyo