DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

bibie kabla hujayaongea hayo ujue kwamba sisi wanaume hatuwezi kustahamili kufuga mi'GENYE' kama muwezavyo nynyi.
au unataka jamaa aanze kuutembeza hovyo mitaani..?.
Nadhan jamaa na mkewe wametumia busara zaid kufanya hvyo.
Pongezi kwao
Genye za kazi gani na mkeo yupo?
 
Kabla hawajaona huyu mume alikuwa anapataje huduma? Si ina maana alikuwa anapiga wote wawili.

Yote kheri kama kaamua kupunguza dhambi
Kamula mwezi wa 8 ila ana mwabamke mwingine ana mimba na huyu alie muoa juzi. Wako watatu jumla.
 
Si unaambiwa kizuri kula na nduguyo mzigua90
 
bibie kabla hujayaongea hayo ujue kwamba sisi wanaume hatuwezi kustahamili kufuga mi'GENYE' kama muwezavyo nynyi.
au unataka jamaa aanze kuutembeza hovyo mitaani..?.
Nadhan jamaa na mkewe wametumia busara zaid kufanya hvyo.
Pongezi kwao
Ni hivi kama huwezi kustahimili kufuga hizo hamu zako na mimi siwezi kustahamili kuletewa mke wa pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…