Aseme tu mapema kuwa kahamishia kwa wakubwa wenzieMajukumu gani? Mwanamke gani anaezidiwa na majukumu hadi ashindwe kumtunza mumewe? Huo udc ndo umfanye ashindwe kutekeleza majukumu ya mke? Akiwa waziri itakuaje sasa?
Genye za kazi gani na mkeo yupo?bibie kabla hujayaongea hayo ujue kwamba sisi wanaume hatuwezi kustahamili kufuga mi'GENYE' kama muwezavyo nynyi.
au unataka jamaa aanze kuutembeza hovyo mitaani..?.
Nadhan jamaa na mkewe wametumia busara zaid kufanya hvyo.
Pongezi kwao
Inategemea....Mkuu wa wilaya tu majukumu mengi na Samia atasemaje
Kamula mwezi wa 8 ila ana mwabamke mwingine ana mimba na huyu alie muoa juzi. Wako watatu jumla.Kabla hawajaona huyu mume alikuwa anapataje huduma? Si ina maana alikuwa anapiga wote wawili.
Yote kheri kama kaamua kupunguza dhambi
Si unaambiwa kizuri kula na nduguyo mzigua90Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
hawajaachana wala nini alitoa maoni yake tuWalishatengana. Ndo inashangaza imekuaje waraka huu wa kubariki ndoa ya mumewe.
Kamula mwezi wa 8 ila ana mwabamke mwingine ana mimba na huyu alie muoa juzi. Wako watatu jumla.
Labda aseme hivyo...
DC zainabu anaendelea kufunguka ,inaonekana ndoa inaenda kuvunjika
Yataka ujasiri lakini mm nilishuhudia nyumba moja waliolewa na mme mmoja ilikuwa patashikaNingekua ni mimi pepo kwa style hii hapana.
DuuhhUkiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Kuna lingine...majukumu ni kisingizio..... Huyo mwanaume ye hana majukumu.Inategemea....
Ni hivi kama huwezi kustahimili kufuga hizo hamu zako na mimi siwezi kustahamili kuletewa mke wa pili.bibie kabla hujayaongea hayo ujue kwamba sisi wanaume hatuwezi kustahamili kufuga mi'GENYE' kama muwezavyo nynyi.
au unataka jamaa aanze kuutembeza hovyo mitaani..?.
Nadhan jamaa na mkewe wametumia busara zaid kufanya hvyo.
Pongezi kwao