Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.