DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Na huu ndio ukweli mchungu ambao wanawake wengi hawapendi kuusikia.
 
Good move, ni vyema yeye aliyemkabidhi mumewe kwa mwanamke amayemfahamu na kuutangazia umma, kuliko mume ajikabidhi kwa mwanamke anayemfahamu yeye bila ya mkewe kujua na kwasiri balaa lake ni kubwa kuliko akili ya binadamu inavyoweza kufikiri, Always two is one and one is nothing.
Aiseee
 
View attachment 698985
Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Kalifanyia kazi tamko la mzee baba kwa namna ya kipekee kabisa... Kwenye Ukristo kuna upendo unaitwa upendo wa Agape... NDIO HUU SASA....
 
wengine wanasema haya lakini kinyume chake anamkomesha kimya kimya usiamnini kila analosema mwanamke hasa walioko kwenye situations kama hizi. KUNA MAMA JIRANI YETU ALIYASEMA KAMA HAYA LAKINI ALIKUWA ANAZIMIA AKIWA ANADRIVE AKAUGUA MAGINJWA YA KILA AINA DEPRESSION ILIKUWA NYUMBA YAKE ALILOMFANYA HUYU MWENZIE BAADAE NI MUNGU PEKEE ANAJUA
 
ila ni wanawake wachache sana ulimwenguni wanaoweza kulipokea swala hili moja kwa moja kiurahisi.
mara nyingi mpaka wazozane na mume ndio akubal kishingo upanse
 
Back
Top Bottom