DC Shaka awabana 2 uuzaji wa ardhi ya kijiji, Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi

DC Shaka awabana 2 uuzaji wa ardhi ya kijiji, Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
DC Shaka awabana 2 Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi wilayani kilosa limewatia mbaroni watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Msowero A, Petro Sanga (Paroko) mwenzake, Awadh Ngajime kwa tuhuma za kuuza ardhi (eneo la mlima) mali ya kijiji cha Msowero, wilayani Kilosa.

Pia, inaendelea kuwatafuta watu wengine 48 ambao wanaosadikiwa kuwa sehemu ya mtandao uliohusika kuuza kinyume na utaratibu ekari 1158 za Kijiji zilizopo katika mlima huo.

Hayo yalibainika wakati wa mkutano wa hadhara kusikiliza kero za wanachi katika Kata ya Msowero uliotishwa na Mkuu wa Wilaya ya KIlosa Shaka Hamdu Shaka mwishoni mwa wiki kijjijini hapo.

 
Kweli mtu anauza MLIMA aise sasa mmezidi ipo siku mtatuuzia JUA
 
Pesa imekua y moto sasa.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Watu wana confidence max pro, yaani mtu anauza mlima
 
Watu wana confidence max pro, yaani mtu anauza mlima.
 
Unashangaa wanaouza mlima! Je waliouza bandari hauwashangai?
Mi bado nashangaa walioingia mikataba na marehemu walio kufa.kitambo,waliwapataje hao marehemu hadi marehemu aka sign mkataba!!??
 
DC Shaka awabana 2 Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi wilayani kilosa limewatia mbaroni watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Msowero A, Petro Sanga (Paroko) mwenzake, Awadh Ngajime kwa tuhuma za kuuza ardhi (eneo la mlima) mali ya kijiji cha Msowero, wilayani Kilosa.

Pia, inaendelea kuwatafuta watu wengine 48 ambao wanaosadikiwa kuwa sehemu ya mtandao uliohusika kuuza kinyume na utaratibu ekari 1158 za Kijiji zilizopo katika mlima huo.

Hayo yalibainika wakati wa mkutano wa hadhara kusikiliza kero za wanachi katika Kata ya Msowero uliotishwa na Mkuu wa Wilaya ya KIlosa Shaka Hamdu Shaka mwishoni mwa wiki kijjijini hapo.
View attachment 2983109

DC kutoka nchi ya watu wa Zanzibar.Tanganyika kakosekana DC kati ya watu million 60 hadi tumekwenda kukopa huko nchi ya Zanzibar.
 
DC kutoka nchi ya watu wa Zanzibar.Tanganyika kakosekana DC kati ya watu million 60 hadi tumekwenda kukopa huko nchi ya Zanzibar.
Ni dharau kubwa sn, maza ameona ajaze ndugu zake, DASs na DEDs ndiyo usiseme utadhani upo Ugunja
 
Back
Top Bottom