Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mzanzibar kesi yake ya rushwa iliishia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo pamoja na weweHili suala la Muungano wanasiasa wakishindwa kulishughulikia nitadeal nalo Mimi mwenyewe, Sitaki kuona takataka yoyote ya Zenji hapa Tanganyika!
Sasahiv ngoja niendelee kutafuta pesa kwanza huku nikifuatilia kwa ukaribu hili suala.
Lakini anatete ardhi ya watanganyika wanayojiuzia kama njugu na watanganyikaHuyu Mzenj vipi naye. Arudi kwao akauze urojo
Hata akitetea haimpi uhalali wa kiwa kiongozi huku Tangangika. Nyerere alitetea Zimbabwe uliona ameenda kuwa kiongozi huko?Lakini anatete ardhi ya watanganyika wanayojiuzia kama njugu na watanganyika
Vipi uhalali wa hao watanganyika kuuza ardhi kama njugu?Hata akitetea haimpi uhalali wa kiwa kiongozi huku Tangangika. Nyerere alitetea Zimbabwe uliona ameenda kuwa kiongozi huko?
shaka mtoto wa watuDC Shaka awabana 2 Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi wilayani kilosa limewatia mbaroni watu wawili akiwemo Mwenyekiti wa Kitongoji cha Msowero A, Petro Sanga (Paroko) mwenzake, Awadh Ngajime kwa tuhuma za kuuza ardhi (eneo la mlima) mali ya kijiji cha Msowero, wilayani Kilosa.
Pia, inaendelea kuwatafuta watu wengine 48 ambao wanaosadikiwa kuwa sehemu ya mtandao uliohusika kuuza kinyume na utaratibu ekari 1158 za Kijiji zilizopo katika mlima huo.
Hayo yalibainika wakati wa mkutano wa hadhara kusikiliza kero za wanachi katika Kata ya Msowero uliotishwa na Mkuu wa Wilaya ya KIlosa Shaka Hamdu Shaka mwishoni mwa wiki kijjijini hapo.
View attachment 2983109
Siyo lazima awe mzanzibar ndipo ajue ni kosa. Hata Mkaguru wa kawaida tu hapo Kilosa anajua hilo ni kosa. Hao wachukuliwe hatua tu kama wahalifu wengine.Vipi uhalali wa hao watanganyika kuuza ardhi kama njugu?