DC Shaka awabana 2 uuzaji wa ardhi ya kijiji, Wengine 48 watafutwa na Jeshi la Polisi

Hata akitetea haimpi uhalali wa kiwa kiongozi huku Tangangika. Nyerere alitetea Zimbabwe uliona ameenda kuwa kiongozi huko?
Vipi uhalali wa hao watanganyika kuuza ardhi kama njugu?
 
shaka mtoto wa watu
mpelembwe wa Tanga
 
Vipi uhalali wa hao watanganyika kuuza ardhi kama njugu?
Siyo lazima awe mzanzibar ndipo ajue ni kosa. Hata Mkaguru wa kawaida tu hapo Kilosa anajua hilo ni kosa. Hao wachukuliwe hatua tu kama wahalifu wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…