The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Wakuu
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Lazaro Twange amefika nyumbani tarehe 03 Februari, 2025 akisema vyombo husika vinaendelea na uchunguzi wa tukio la kutekwa kwa Damian Method huku akiitaka familia kutoa ushirikiano mara wanapopata taarifa yoyote kuhusu tukio hilo la utekaji.
Kijana anayejulikana kwa jina la Method Damian ameripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana mnamo Februari 28, 2025, katika eneo la Sinza E, Dar es Salaam.
Soma pia: Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha
Kwa mujibu wa mzazi mwenza, Tullah Chaula, tukio hilo lilitokea ghafla, ambapo watekaji walimvamia Method Damian na kumlazimisha kuingia kwenye gari aina ya Prado nyeupe kabla ya kuondoka naye kuelekea kusikojulikana.
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Lazaro Twange amefika nyumbani tarehe 03 Februari, 2025 akisema vyombo husika vinaendelea na uchunguzi wa tukio la kutekwa kwa Damian Method huku akiitaka familia kutoa ushirikiano mara wanapopata taarifa yoyote kuhusu tukio hilo la utekaji.
Kijana anayejulikana kwa jina la Method Damian ameripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana mnamo Februari 28, 2025, katika eneo la Sinza E, Dar es Salaam.
Soma pia: Pre GE2025 Dar: Method Damian Kumdyanko adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana wakiwa na silaha
Kwa mujibu wa mzazi mwenza, Tullah Chaula, tukio hilo lilitokea ghafla, ambapo watekaji walimvamia Method Damian na kumlazimisha kuingia kwenye gari aina ya Prado nyeupe kabla ya kuondoka naye kuelekea kusikojulikana.