DC wa Korogwe Jokate punguza Sifa na Kiherehere zitakuja Kukuponza

DC wa Korogwe Jokate punguza Sifa na Kiherehere zitakuja Kukuponza

Kiafya: wajawazito wanashauriwa kufanya mazoezi kila wakati wajisikiapo vizuri, ili kuwafanya watoto waliopo tumboni wawe na afya
 
Ungesema tu kuna madhara gani ya kiafya kwa mjamzito kukimbia maana kuna mashindano baadhi duniani, wanawake wajawazito walishindana kwenye hizi races tena na wenzao wasio wajawazito.
Kama kungekuwa na risk kubwa sidhani kama wangeruhusu

alysia-montac3b1o.jpg
 
Wanawake wengi achilia mbali wenye uja uzito fitness levels ni zero. Watakuwa wanaachia mashuzi all the way to the finish line. Itabidi kila mshiriki apimwe kabla ya kiruhusiwa kushiriki sababu kuna wanawake wengine wana high blood pressure na matatizo ya kiafya. Ikitokea accident mjamzito akapoteza uhai, huyo mashavu nono mboga saba will be held liable.
 
Acheni makasiriko wandugu.
Ya NAPPE NNAUYE kukanyaga migongo ya wakosa akili hujayaona.

Wamlete kwetu Tabora Mjini tunahitaji huyo DC.

Hayo mashindano ni hiali na sio lazima.Halafu hiyo pia ni mazoezi kea kina mama.

Usimruhusu mkeo uone Kama DC atakukamata.

Ana akili Sana huyo Dada.
Punguza hasira,yasiyokuhusu angalia pembeni.

Wewe ndo mtu mbaya,mpaka maswala ya Period inakujaje.

UMKOME MBUZI WEWE,SIO SAIZI YAKO.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana adabu kabisa huyu jaluo
 
Umeona wapi duniani kote kunaandaliwa Mbio za Mita ndefu na fupi za Wamama Wajawazito kama ambayo umeyaandaa Wewe na nashangaa Serikali ( hasa Wizara husika ya Afya ) kulikalia hili Kimya.

Leo umekuja na huu Upuuzi wako juu ya Wamama Wajawazito ila nionavyo kuna Siku utakuja na Mbio za Mita fupi na ndefu za Wanawake walioko Hedhini ( Period ) na waliovaa Sodo ( Pedi )


Mbona hukuja na huu Upuuzi wako Tukuka Kipindi kile nawe una Kibendi ( Mimba ) ili uanze kwa kutuonyeshea Mfano kwa Kukimbia ili uzalie Mtoto katikati ya hizo Mbio na uone madhara yake Kiafya?

Acheni kulazimisha tuwadharau Ok?
Hata Mimi niliposikia nilibaki mdomo wazi
 
Lakini huyu ndiye DC anaye shine kila wilaya anayopangiwa. Naona unamtolea povu jingi na kali. Huenda hizi mbio zitaingiza fedha nyingi kuweza kutimiza lengo lake. Mbona kuna wanawake ambao wana nguvu nyingi kufanya kazi ngumu mpaka tarehe ya kujifungua, kuna wengine hukimbia huku wakiwa na mimba zao kiasi cha kuwaonea huruma wasisumbue kiumbe kilichopo tumboni. Anyway, huyu ndiye dc mbunifu kuliko ma dc wote
Kwanza zitasaidia akinamama kujifungiua haraka na bila matatizo
 
Lakini huyu ndiye DC anaye shine kila wilaya anayopangiwa. Naona unamtolea povu jingi na kali. Huenda hizi mbio zitaingiza fedha nyingi kuweza kutimiza lengo lake. Mbona kuna wanawake ambao wana nguvu nyingi kufanya kazi ngumu mpaka tarehe ya kujifungua, kuna wengine hukimbia huku wakiwa na mimba zao kiasi cha kuwaonea huruma wasisumbue kiumbe kilichopo tumboni. Anyway, huyu ndiye dc mbunifu kuliko ma dc wote
Anafanya vzr kwa vigezo gani??unampima dc anayefanya vzr kwa KPI zipi??
 
Lakini huyu ndiye DC anaye shine kila wilaya anayopangiwa. Naona unamtolea povu jingi na kali. Huenda hizi mbio zitaingiza fedha nyingi kuweza kutimiza lengo lake. Mbona kuna wanawake ambao wana nguvu nyingi kufanya kazi ngumu mpaka tarehe ya kujifungua, kuna wengine hukimbia huku wakiwa na mimba zao kiasi cha kuwaonea huruma wasisumbue kiumbe kilichopo tumboni. Anyway, huyu ndiye dc mbunifu kuliko ma dc wote

Hana ubunifu wowote. Anajua kucheza na media.
 
Umeona wapi duniani kote kunaandaliwa Mbio za Mita ndefu na fupi za Wamama Wajawazito kama ambayo umeyaandaa Wewe na nashangaa Serikali ( hasa Wizara husika ya Afya ) kulikalia hili Kimya.

Leo umekuja na huu Upuuzi wako juu ya Wamama Wajawazito ila nionavyo kuna Siku utakuja na Mbio za Mita fupi na ndefu za Wanawake walioko Hedhini ( Period ) na waliovaa Sodo ( Pedi )


Mbona hukuja na huu Upuuzi wako Tukuka Kipindi kile nawe una Kibendi ( Mimba ) ili uanze kwa kutuonyeshea Mfano kwa Kukimbia ili uzalie Mtoto katikati ya hizo Mbio na uone madhara yake Kiafya?

Acheni kulazimisha tuwadharau Ok?
Kikatiba Wakuu wa wilaya hawana kazi za kufanya so vitu jama hivyo vina wa keep busy.
 
Popoma huyo huwezani naye. Licha ya kupata A ya English O & A level pia ni Tiss na ni wale wachache waliojua kifo cha marehemu Jiwe kabla hakijatangazwa.

Wewe vizia tu ubwabwa na kukusanya umbea hapo msibani kwa mkono.

Mbwiga ww
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jazba nyingi sana kwani wajawazito hawaruhusiwi kufanya mazoezi??? Ni jambo mhimu kwa mjamzito mwenye afya njema kufanya mazoezi labda mwenye matatizo ya kiafya wanapewa bed rest, ila atatakiwa kujishughulisha na kazi ndogo ndogo.
 
Umeona wapi duniani kote kunaandaliwa Mbio za Mita ndefu na fupi za Wamama Wajawazito kama ambayo umeyaandaa Wewe na nashangaa Serikali ( hasa Wizara husika ya Afya ) kulikalia hili Kimya.

Leo umekuja na huu Upuuzi wako juu ya Wamama Wajawazito ila nionavyo kuna Siku utakuja na Mbio za Mita fupi na ndefu za Wanawake walioko Hedhini ( Period ) na waliovaa Sodo ( Pedi )


Mbona hukuja na huu Upuuzi wako Tukuka Kipindi kile nawe una Kibendi ( Mimba ) ili uanze kwa kutuonyeshea Mfano kwa Kukimbia ili uzalie Mtoto katikati ya hizo Mbio na uone madhara yake Kiafya?

Acheni kulazimisha tuwadharau Ok?
Jokate mongelo kutoka kucheza Uchida na kujikojolea majukwaani hadi kuwa DC hahah inashangaza sana
Nilishangaa ati anaenda kutangaza mkonge SA! Balozi yupo, wazir wa kilimo yupo kiherehere cha nn bi mdogo??
 
Mi naona hao wanawake wataoenda huko kuhataraisha maisha ni wajinga kama huyo single maza
Ila ndugu ujinga tafsiri yake ni kuto kuwa waelevu, sasa siyo waelevu kwa lipi.

Maana tusije jikuta sisi ndiyo wajinga, kwa kuto tumia neno ujinga sehemu sahihi.
 
Back
Top Bottom