Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Mfano anefabya kitu gani Cha maana hadi sasa kwenye ukuu wa wilaya?Lakini huyu ndiye DC anaye shine kila wilaya anayopangiwa. Naona unamtolea povu jingi na kali. Huenda hizi mbio zitaingiza fedha nyingi kuweza kutimiza lengo lake. Mbona kuna wanawake ambao wana nguvu nyingi kufanya kazi ngumu mpaka tarehe ya kujifungua, kuna wengine hukimbia huku wakiwa na mimba zao kiasi cha kuwaonea huruma wasisumbue kiumbe kilichopo tumboni. Anyway, huyu ndiye dc mbunifu kuliko ma dc wote