DC wa Korogwe Jokate punguza Sifa na Kiherehere zitakuja Kukuponza

Kiafya: wajawazito wanashauriwa kufanya mazoezi kila wakati wajisikiapo vizuri, ili kuwafanya watoto waliopo tumboni wawe na afya
 
Ungesema tu kuna madhara gani ya kiafya kwa mjamzito kukimbia maana kuna mashindano baadhi duniani, wanawake wajawazito walishindana kwenye hizi races tena na wenzao wasio wajawazito.
Kama kungekuwa na risk kubwa sidhani kama wangeruhusu

 
Wanawake wengi achilia mbali wenye uja uzito fitness levels ni zero. Watakuwa wanaachia mashuzi all the way to the finish line. Itabidi kila mshiriki apimwe kabla ya kiruhusiwa kushiriki sababu kuna wanawake wengine wana high blood pressure na matatizo ya kiafya. Ikitokea accident mjamzito akapoteza uhai, huyo mashavu nono mboga saba will be held liable.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana adabu kabisa huyu jaluo
 
Hata Mimi niliposikia nilibaki mdomo wazi
 
Kwanza zitasaidia akinamama kujifungiua haraka na bila matatizo
 
Anafanya vzr kwa vigezo gani??unampima dc anayefanya vzr kwa KPI zipi??
 

Hana ubunifu wowote. Anajua kucheza na media.
 
Kikatiba Wakuu wa wilaya hawana kazi za kufanya so vitu jama hivyo vina wa keep busy.
 
Popoma huyo huwezani naye. Licha ya kupata A ya English O & A level pia ni Tiss na ni wale wachache waliojua kifo cha marehemu Jiwe kabla hakijatangazwa.

Wewe vizia tu ubwabwa na kukusanya umbea hapo msibani kwa mkono.

Mbwiga ww
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jazba nyingi sana kwani wajawazito hawaruhusiwi kufanya mazoezi??? Ni jambo mhimu kwa mjamzito mwenye afya njema kufanya mazoezi labda mwenye matatizo ya kiafya wanapewa bed rest, ila atatakiwa kujishughulisha na kazi ndogo ndogo.
 
Jokate mongelo kutoka kucheza Uchida na kujikojolea majukwaani hadi kuwa DC hahah inashangaza sana
Nilishangaa ati anaenda kutangaza mkonge SA! Balozi yupo, wazir wa kilimo yupo kiherehere cha nn bi mdogo??
 
Mi naona hao wanawake wataoenda huko kuhataraisha maisha ni wajinga kama huyo single maza
Ila ndugu ujinga tafsiri yake ni kuto kuwa waelevu, sasa siyo waelevu kwa lipi.

Maana tusije jikuta sisi ndiyo wajinga, kwa kuto tumia neno ujinga sehemu sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…